Rooney: Ningefanya Kama Ronaldo

Nyota wa zamani wa Manchester United, Wyne Roone amesimulia kisa cha mwaka 2006 kwenye michuano ya kombe la Dunia. Rooney amesimulia namna Ronaldo alivyoshadadia ili aweze kutimuliwa uwanjani kwa kadi nyekundu.

Mwaka 2006, Rooney alilimwa kadi nyekundu kwenye mechi kati ya England na Portugal baada ya kumfanyi rafu Ricardo Carvalho kwenye mechi hiyo ya robo fainali.

Baada ya Rooney kubambwa na muamuzi, Ronaldo alimshinikiza muamauzi kuwa mwanatimu mwenzake wa klabu ya Man United alipaswa atimuliwe dimbani kwa kadi nyekundu.

Rooney: Ningefanya Kama Ronaldo
Rooney akipewa kadi nyekundu Kombe la Dunia 2006

Baada ta Rooney kupata kadi nyekundu anasimulia kuwa Cristiano Ronaldo alimkonyeza alipokuwa benchi na baadhi ya kamera zilimnasa CR7 katika tukio hili. England walitolewa kwenye mikwaju ya penati katika mechi hii.

Rooneya ansema kuwa anajaribu kujiweka kwenye viatu vya Cristiano Ronaldo katika mazingira ya mechi kama ile na anajiona kabisa kile ndiyo kitu ambacho pia angekifanya, kushindikiza kadi nyekundu.

Anasema ikiwa Ronaldo angefanya kama alivyofa

nya yeye, na alistahili kadi nyekundu au kwa namna nyingine pia ingewasaidia kuongeza uwezekano wa kushinda, bila shaka ndiyo kitu sahihi angeweza kufanya.

Baada ya mechi wataalamu hawa walirejea ukaribu wao Man United na kuendelea kufanya kazi nzuri wakiwa pamoja.

Rooney: Ningefanya Kama Ronaldo
Rooney na Ronaldo, wakiwa United.

2 Komentara

    Duuh

    Jibu

    kumbe wachezaji wanaletena figisu wakiwa uwanjani

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.