Delle Alli Avamiwa Jijini London

Mshambuliaji wa Tottenham, Delle Alli alivamiwa na wezi Jumatano asubuhi akiwa nyumbani kwake London.

Nyota huyu alipigwa usoni na wavamizi wawili waliokuwa na silaha, na kuamuru kutolewa kwa vitu vyote vya thamani walivyokuwa navyo.

Kwa mujibu wa chanzo cha The Sun, Alli mwenye umri wa miaka 24 alikuwa akicheza Pool na kaka yake na mpenzi wake nyumbani kwao maeneo ya Hadley Wood, Kaskazini Mashariki wa jiji la London, na ilikuwa mapema asubuhi tukio hili lilipotokea.

Wavamiaji ambao walijizuia nyuso zao kwa maski walitokomea na saa na vitu vingine vya thamani mali ya Allin na Mpenzi wake Ruby Mae.

Alli amesema kuwa hilo ni tukio baya kuwahi kumtokea. Amewashukuru watu wote wanaomtumia salamu za pole.

Mamlaka za polisi zimeweka wazi kuwa mpaka sasa hakuna mtu yeyote anayeshikiliwa kwa kuhusishwa na tukio hilo, huku jitihada za kuwabaini na kuwatia nguvuni wahusika zikiendelea!

Msemaji wa klabu ya Spurs, aliweka wazi kuwa klabu imekuwa ikijitahidi kutoa sapoti inayohitajikwa kwa Dele na wenzie ambao anaishi nao karantini. Klabu imetoa wito kwa yeyote mwenye taarifa za washukiwa basi anaweza kuwasaidia polisi.

46 Komentara

    Pole kwa Del Ali #meridianbettz

    Jibu

    Dah pole sana kwake aisee

    Jibu

    Pole sana fundi wa mpira#merudianbet

    Jibu

    Pole sana fundi wa mpira # meridianbettz

    Jibu

    Du Pole kijana
    Asante kwa taarifa #meridianbettz

    Jibu

    Pole sana jembe letu

    Jibu

    Pole sana na asante meridian kwa taarifa

    Jibu

    Kweli hatari na corona hii bado wanampa majanga mengine tena

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Da! jaman,pole yake aise

    Jibu

    mmmh

    Jibu

    Pole sana jembe letu

    Jibu

    Daah pole sana

    Jibu

    pole kwa delle ahsanteni meridian kwa taarifa

    Jibu

    Hii inasikitisha jamani. Pole sana

    Jibu

    Ni kweli waliomvamia dele ni wavamizi au na mambo ya viwanjani? ngoja tuone uchunguzi utatuambia nini juu ya hili tukio. Mungu ampe nguvu katika kipindi hiki kigumu

    Jibu

    Pole Sana fundiiiii wa soka

    Jibu

    Dah pole yake

    Jibu

    Majanga.

    Jibu

    To sad thnks meridian bet tz

    Jibu

    tumpe pole kwa kilichompata dele maana kwa kipindi kama hichi unapata janga inakua ni changamoto

    Jibu

    Pole San fundi wa mpira#meridianbet

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Duuh pole yake adelle

    Jibu

    Pole Sana fundi wa mpira #meridianbettz

    Jibu

    Oooooo to sad

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Da sikitisha sana mungu amponye

    Jibu

    majanga juu ya majanga

    Jibu

    Pole kwake jamani.

    Jibu

    Pole Sana fundi wampira

    Jibu

    Hi tabia inabidi ikomeshwe maana si Mara moja wachezaji kuvamiwa#meridianbettz

    Jibu

    Daaah..!pole sana kijana..!

    Jibu

    Pole sn

    Jibu

    Pole Dele Mungu akujalie upone mapema urudi kwenye ligi

    Jibu

    Pole yake jamani

    Jibu

    Pole yake…..mungu amsimamie apone fasta

    Jibu

    Mungu afanyie wepes

    Jibu

    pole sana delle alli

    Jibu

    Pole sana Delle, hakika waalifu watatiwa nguvuni.

    Jibu

    Pole sana mungu atamfanyia wepesi

    Jibu

    Duh hatari sana!

    Jibu

    Izo tabia inapaswa zitokomezwe maana Wana michezo watakua hawaishi kwa amani

    Jibu

    Pole Sana jembe

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.