'Barcelona Wasimsajili Tena Neymar' -Elber

Mshambualiaji wa zamani wa Brazil Giovance Elba anasema kuwa Barcelona hawatakiwi kumsajili tena nyota wao wa zamani Neymar, ambaye aliamua kuhamia Ufaransa.

Neymar ambaye kwa sasa ana miaka 28, amekuwa akihusishwa mara kwa mara na duru za soka kuwa anatarajiwa kurejea klabu ya Barcelona. Ni kama ana miaka mitatu tangia atoke Barcelona kwa ada ya kuvunja rekodi ya dunia ya paundi milioni 222.

Elber ambaye aliwahi kung’ara sana wakati akiwa Bayern Munich, ambaye alicheza gemu 15 za timu ya taifa ya Brazili katika maisha yake ya soka, anaona kama mabingwa wa La Liga, Barca wangeacha kabisa kufikiria kumrejesha Neymar new Camp na anahoji kuwa ‘hawajiulizi kwa nini aliamua kuondoka klabuni hapo?’

Akiwa kwenye mahojiano na Cadena SER aliulizwa Barcelona wamsajili Neymar tena? Elber akajibu “Hapana. Kwa kuwa aliondoka Barcelona kwangu hakuna uwezekano wa kurejea hapo tena”

Elber anasea Neymar aliondoka bila heshima alipokuwa anaondoka Barca, kwa kuwa aliondoka kwa kusema kuwa anataka kwenda kuwa bora zaidi duniani akiwa PSG.

Kama Elber, angekuwa ni sehemu ya maamuzi muhimu Barcelona basi Neymar asingekuwa na nafasi9 tena Barcelona.

46 Komentara

    neymar anajua ila ubshooo unamwalibia

    Jibu

    Neymar anafuata soko la sasa la pesa tunaita mpira pesa sio kama kipindi cha Elber mm nafkiri Barcelona kumrudisha Neymar ni jambo zuri sana

    Jibu

    Good news 👍# meridianbettz

    Jibu

    nkwel cz ameshachuja

    Jibu

    Neymar anajua sana kucheza mpira na mpira wake ni wa kiwango

    Jibu

    Elbar haache wivu mana mchezaji kuhama timu na kurejea ni jambo la kawaida

    Jibu

    Neymer anajua yupo vizuri kisoka ila ubishoo mwingi ndomana anashuka kimpa Sasa Kama analudi Barcelona nivizuri

    Jibu

    Barcelona kumrudisha Neymar ni jambo zuri sana#meridianbettz

    Jibu

    Wacha wivu

    Jibu

    Neymer anajua ila analewa sana sifa

    Jibu

    Ila iko kijamaa nacho kinajiona sana ndo maana anapotea

    Jibu

    Barcelona kumrudisha Neymar no Mambo zr#meridianbettz

    Jibu

    Wamuache kwan hana majabu tena.

    Jibu

    Barcelona kumrudisha Neymr ni jambo zuri

    Jibu

    Bora wamchukue huko kafulia na aache ubishoo

    Jibu

    Bora barcelona wamludishe neymar huyo ni fundi.
    #meridianbettz

    Jibu

    Thanks meridian kwa gud news za Kimichezo na burudani

    Jibu

    Neymar kurudi barcelona jambo la busara#asante meridianbet kwa taarifa..

    Jibu

    Neymar yupo vizuri is namba one

    Jibu

    Ahsanteni meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    Atakuwa na kazi kubwa kwa mashabiki wa Barca itambidi auvae uCristiano Ronaldo

    Jibu

    Barcelona wamrudishe tu yuko vizuri

    Jibu

    Asante meridian kwa taarifa

    Jibu

    Basi akae hapo alipo sasa coz aliondoka mwenyewe.

    Jibu

    Hana jipya.

    Jibu

    Neyma Yuko vizuri anastahili

    Jibu

    Nakubaliana nae kwa 100%. Hakuna sababu ya kumurejesha Neymar Barcelona#meridianbettz

    Jibu

    Hana haja kurudi tena barcelona

    Jibu

    Yuko vizuri ila ana madoido sana

    Jibu

    Naungana na Elber kiwango cha Neymar kimeshuka

    Jibu

    Duuh mambo hayo

    Jibu

    Ni fundi sn ila ni Bishop sn uwanjan

    Jibu

    Elber kaongea vizuri tena kifundi lakini mpira wa sasa unaangalia sana umuhimu wa mchezaji flani kuwepo ndani ya kikosi, kwa Barca Neymar bado ananafasi na kama ataendelea kukaza Buti basi Mikoba ya Messi itamfuata kwani Messi umri unamtupa mkono, Namaanisha Ufalme ndani ya Nou Camp.

    Jibu

    Meridianbettz mpo vizur kwa habari za michezo

    Jibu

    Neymar yupo vzr

    Jibu

    Huyu keshakuwa sharobaro sio tena mchezaji hatari

    Jibu

    Elba ana wivu tu

    Jibu

    Neymar ubishoo mwingi

    Jibu

    Elber aache wivu alitaka kumpelekesha neymar kisa anajua aache arudi tu hayo yashapita

    Jibu

    Neymar alikua hanataka kua staa za ya pale..!kaona kucheza mpira na messi hatakua haonekane ndio maana hakaamua hajitenge..!sio mbaya kila mtu na maamuzi yake msameeni tu mambo yaendelee..!!

    Jibu

    Anajua Sana Ila bishoo
    uwanjani

    Jibu

    Neymar waachane naye bado Ana utoto sana

    Jibu

    Neymar anamaajabu tena, kama vip wasimsajili tu

    Jibu

    Hiyo ni Roho mbaya aisee. Eto ‘o ni mchezajii mzuri mno.

    Jibu

    Ubishoo mwingi Sana huyo Mpira hakuna hapo

    Jibu

    Neymar ni mchezaji mzuri Sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.