Wachezaji 16 wa Timu ya Vasco Da Gama ya Brazil Wana Covid 19

Wachezaji 16 wa klabu ya Vasco da Gama inayoshiriki Serie A ya Brazil wamekutwa na maambukizi ya virusi vya Corona baada ya kupimwa. Brazil imeripoti zaidi ya wagonjwa laki 5 walioambukiwa Korona, na upo kwenye Orodha ya nchi zinazo ongoza kwa Maambukizi ya Corona kwa sasa.

Vasco da Gama

Klabu hiyo kutoka jiji la kiniashara la Rio de Janeiro walipima wafanyakazi wapatao 350 na kuwakuta wachezaji hao 16 wakiwa na maambukizi, hivyo wametengwa na wenzao na huku ambao walikuwa karibu na wao wakiwekwa chini ya uangalizi maalumu kama watakuwa na maambukizi ya Corona.

Vasco da Gama walikuwa wanajiaanda na mazoezi ya kuanza kwa Ligi Kuu ya Serie A huko nchini Brazil.

Brazil imekuwa na kesi zaidi ya nusu milioni na vifo zaidi ya 29,000 kutokana na COVID-19. Ni ya pili baada ya Marekani kwa suala la kesi za maambukizi zilizothibitishwa na nchi ya 4 duniani kote linapokuja suala la vifo.

49 Komentara

    Duh Corona nomaa Sana

    Jibu

    Huu ugonjwa huu

    Jibu

    Janga la dunia limewaathili watu wengi

    Jibu

    Pole sana kwao na timu kwa ujumla

    Jibu

    Daah..!mungu hatawasaidia wapambanaji wetu watapona watarudi kwenye ali zao..!

    Jibu

    Pole yao Wenzao wanaanza mazoezi warudi uwanjani wao Ndio kwanza wanapata matatizo ya corona

    Jibu

    Duuuh mungu awasaidie wapone haraka

    Jibu

    Daah..!mungu hatawasaidia wapambanaji wetu watapona na kila kitu kitakua sawa

    Jibu

    Covid19 janga la taifa#meridianbettz

    Jibu

    Mungu awasaidie tu Mana corona ni janga la dunia nzima

    Jibu

    watapona tuu ingekua bongo wangejifukiza

    Jibu

    Poleni sana inatia hofu kubwa sana kwa wanamichezo mungu tupoje na janga hilo la corona

    Jibu

    inabidi wazidi kuchukua taadhali mpka hali itakapo kaa sawa #meridianbettz

    Jibu

    huu ugonjwa hatari sana

    Jibu

    Mungu saidia wapone na waendelee na soka.

    Jibu

    Habari mbaya jmn.izi.mungu awaponye….

    Jibu

    Hili janga litapita tu.na mungu atawasaidia watapona na watarejea tu uwanjani.

    Jibu

    jambo la kheri kufata miongozo ya wataaramu afya aswa kwenye inchi yao#meridianbettz

    Jibu

    Duh sad news na ligi ndo zimepamba Moto Sasa itakuwaje

    Jibu

    Habar ya kusikitisha sana but MUNGU awasaidie

    Jibu

    Duh wakati watu tunasubiri burudani ya mpira mara tunasikia habari za kusikitisha kama hizi#meridianbettz

    Jibu

    Huu ugonjwa ni hatari sana umetikisa dunia

    Jibu

    Huu ugonjwa ni noma sana umetikisa dunia

    Jibu

    Duu noma Sana mungu atawafanyia wepesi

    Jibu

    Ni habar ya kuhuzunisha sana mungu atawasaidia wata pona

    Jibu

    Duuuh!! Huu ugonjwa sio nzuri kwa kwer Ila m/mungu atawafanyia wepesi watapona.

    Jibu

    Mmh huu ungonjwa siyo poa kabisa

    Jibu

    Mungu atawaponya watakuwa fresh tu

    Jibu

    walifanya jambo la msingi sana kuwapima maana ilikua ni mwendo wa kuambukizana uwanjani, umakini tu na kanuni za afya zikifuatwa tutapona sote kwa pamoja

    Jibu

    Hiki tatzo litaisha lin

    Jibu

    Mungu awapiganiwe katika kipindi hiki kigumu, ni muhimu kuzingatia ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya ka kufanya mazoezi.

    Jibu

    Brazil ni kama kitovu cha maambukizi huko kusini america

    Jibu

    Covid 19 sio ugonjwa mzuri.mungu atawasaidia watapima

    Jibu

    Huu ugonjwa ni atarii sana Mungu awasaidie wapone na maisha yaendelee

    Jibu

    Ooh! Poleni sana Mungu atawapigania watapona na covid19 itaondoka

    Jibu

    Duuuh corona inatisha

    Jibu

    Eeeeh! Bwana ee Corona Ni ugonjwa sio mzuri mungu awasaidie

    Jibu

    Poleni wachezaji wetu, virusi vya Corona sio poa kabisa.

    Jibu

    Jamani jamani huyu Corona kweli katupania #Meridianbettz

    Jibu

    Duuh pole zao mungu awasaidie wapone

    Jibu

    Habari mbaya kwa wapenda burudani ya soka . Poleni wana Vasco da Gama

    Jibu

    Duh mungu hta wasaidiah watapona tu

    Jibu

    Huu ugonjwa umewathili watu wengi sana#meridianbettz

    Jibu

    Corona balaa kubw

    Jibu

    Bara la America limeathiliwa sana na Covd 19 maombi kwao wapone haraka

    Jibu

    Mungu atunusuru kwakwer maana huu ugonjwa Sio poa

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.