Marc-André Ter Stegen Awachimba Biti Wapinzani

Kipa wa Ujerumani na Barcelona, Marc-André Ter Stegen amewaonya Napoli kwamba Barcelona ‘mara chache mno’ wamekuwa katika kiwango kizuri kuliko walivyo sasa: “Tunataka kutumia fursa yetu vilivyo.”

Ligi ya Uhispania itaanza tena baada ya siku 10 zijazo, wakati Barcelona wakijiandaa kukutana na Mallorca mnamo Juni 13 na kipa huyu wa Barca ana matumaini timu yake itafanya vyema ligi ikiendelea.

Staa huyu wa Ujerumani amekuwa mmoja wa mashujaa wa Camp Nou kwa msimu wa 2019-20 lakini bado amehusishwa sana na mpango wa kuondoka klabuni hapo. Lakini kwa upande wake anasisitiza kuwa hataondoka msimu huu wa joto.

“Haiwezekani kwamba niondoke Barcelona msimu huu wa joto. Tayari kumekuwa na mkutano wa kwanza kati ya wakala wangu na kilabu, kisha ikaibuka hali hii ya coronavirus na hatukupata wakati wa kuzungumza juu ya mkataba.

“Wakati ambao watu wengi wana wasiwasi juu ya maisha yao, tumeamua kuahirisha. Ninajisikia vizuri hapa Barcelona, ​​pia kwa sababu familia yangu inajisikia vizuri hapa.”

Ter Stegen basi aliwaonya wapinzani wao, pamoja na Napoli, kwamba Barcelona wako tayari kutumia kwa hali na mali fursa yao katika Ligi ya Mabingwa kwa msimu huu.

“Kimsingi, mara chache tumekuwa katika kiwango hiki, lakini Real Madrid hawatatupa chochote [kwenye Ligi]. “Kuhusiana na Ligi ya Mabingwa, tuna nafasi ya kupita na tunataka kutumia fursa hiyo.

“Kwa kweli mpira mpya utakuwa tofauti. Mechi bila mashabiki sio nzuri kihivyo, lakini mpira utasonga tena na ndivyo tunataka.”

-Marc-André Ter Stegen

 

48 Komentara

    Asante kwa taarifa#meridianbettz

    Jibu

    Ni vizur kujiamini na kuamini uwezo wko na timu yko kama mchezaji hii inamfanya mpizani wako kuwa na hofu nawe

    Jibu

    marc-Andree nakubali sana halafu na yeye mwenyewe yuko vizuri

    Jibu

    Ni vizuri! Asante #meridianbettz kwa taarifa

    Jibu

    Ni habari mzuri sn asnte meridianbet

    Jibu

    Asante meridianbet #kwa taarifa

    Jibu

    marck andre umeongea kweli

    Jibu

    Nimependa sana ujasiri wa kipa Marc mana juko tayari kupambana hats kama walikuwa katika mapumziko ya ugonjwa wa corona na kuonyesha amejiandaa vema

    Jibu

    Kwa kipind hiki mech zitapao Sana kucheza bila mashabiki sio nzuri ila akuna budi kufanya ivyo kutokana na janga lenyewe la corona,,Yan apa kutakua hakuna lile vibes tulikua tunaliona kwa wachezaji

    Jibu

    Msimu wa kuuza wachezaje huu ni balaa #Meridianbettz

    Jibu

    Waanze tu kucheza maana wapenda kabumbu tulimiss

    Jibu

    Hali ni tete kwa sasa

    Jibu

    Nihabari njema

    Jibu

    Andre mtu makini sana kwa upande wangu namuelewa mno

    Jibu

    Ter Stegen ni moja ya magolikipa wenye clean sheets nyingi Barcelona. Anajua anachosema, nasubiri kuona maneno yake#meridianbettz

    Jibu

    Kwa kipindi hiki wacheze bila mashabiki Hali ikikaa sawa mashabiki wataingia uwanjani

    Jibu

    Good news #meridianbettz

    Jibu

    Nihabari njema sanaaa hz

    Jibu

    Kipa wa ujeruman na Barcelona hajakosea yuko sahihi kabisa

    Jibu

    Ni wazo zuri sababu wakiogopa mkwara wake yeye kazi yake unaenda vizuri

    Jibu

    Asanten kwa habari meridian.

    Jibu

    Hayo mawazo yake!! Ila tusubiri itakavyokiwa

    Jibu

    good news

    Jibu

    Namkubali Sana goli kipa mzuri sana

    Jibu

    Yuko sahihi

    Jibu

    hali ishakuwa mbaya kwa sasa#meridianbettz

    Jibu

    Ninauhakika Barca anapita kwenye hatua hii

    Jibu

    Marc jasiri sana

    Jibu

    Well said Ter Stegen, Let’s get the job done.

    Jibu

    Gud newz

    Jibu

    Ahsante kwa taarifa #meridianbettz

    Jibu

    aache uoga yeye apige kazi pasipo kuwaogopesha watu soon tutamuona tena

    Jibu

    Kipa mzur sana

    Jibu

    Staa huyu wa Ujerumani amekuwa mmoja wa mashujaa wa Camp Nou

    Jibu

    Wanaali ngumu sana wavhezaji wakati huu so inatakiwa juudi kubwa itumike ili kuwafariji wapambanaji wetu

    Jibu

    Mtu mzima hatishiwi nyau..

    Jibu

    Jambo alilolisema ni la kweli

    Jibu

    Abakize Akiba ya maneno kwa sababu mpira autabiriki

    Jibu

    Kipa mzuri sana

    Jibu

    Wachezaji wanapata wakati mgumu Sana kucheza bila mashabiki.wavumilie tu.maana ni kipindi Cha mpito.corona ikiisha mashabiki wataendelea kushabikia Kama kawaida.

    Jibu

    Hayo Ni mawazo yake sisi mashabiki tunasubilia vitendo

    Jibu

    Mi nasubir burdani sitak maneno

    Jibu

    Asante meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    Yupo sahihi

    Jibu

    Tusubiri tuone itakavokua ila ni golikipa mzuri sana
    #meridianbettz

    Jibu

    Tuwe wapole tuone anamaanisha au ndo blablaa.

    Jibu

    Mimi nasubili burudani maneno badae

    Jibu

    Maoni:good news

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.