Hali ya timu ya Werder Bremen katika msimamo wa ligi ya Bundesliga siyo ya kuridhisha kabisa, na kuna uwezekano timu hiyo ikashuka daraja baada ya kufanya hivyo muda mrefu sana uliopita.
Timu hiyo ambayo ndiyo timu iliyokaa katika Bundesliga kwa muda mrefu bila kushuka daraja kuliko timu yoyote ile, mpaka sasa ipo nafasi za chini kabisa za msimamo na kuna hatihati wakashushwa msimu huu.
Kipigo cha moja bila kutoka kwa VfL Wolfsburg siku ya jumapili kiliwasukuma Werder Bremen chini zaidi katika msimano huku wakiwa juu ya Mainz pekee!
Mpaka sasa Werder Bremen wameshindwa kushinda katika jumla ya michezo yao 13 ya nyumbani na wamebakiwa na michezo minne tu kalba ligi haijatamatika.


Asha mvugalo
Wapambe nafasi wanayowanawez wasishuke daraja
Devotha
Itawabidi wajipange vizuri ili waweze kushinda mechi zilizobakia kama wataweza ili wanusurike kushuku daraja
Ester mmakasa
Hawako makini na wanachofanya ,inabidi wafanye bidii ili waweze kupanda daraja.
Hope mwaikuka
Pole yao
Rehema Dickson
Wajipange vizuri kwa kuanza upya kwa sasa awana lakufanya tena
Tahiya
Ni habari mbaya itabidi wajitahidi wasishuke daraja
Theckla
Wajitahidi kupambana wasishuke daraja
Neema hassan
Habari mbaya kwa mashabik..
Elika
Wachezaji wangejitahidi ili nawao angalau wapande daraja
JULIANA
Si habari njema
winfrida
hapa inabidi wakaze hilo daraja la kwanza ili msimu ujao wapande daraja (ligi kuu)
Antony Luseno
Bremen kazi wanayo ila wajipange msimu ujayo wanaweza wakapanda tena ligi kuu
Salma
Dah! Wapambane sana wasishuke daraja
Warda
Acha washuke daraja ndo watajifunza
Aziza mushi
Wajipange vizuri ili msimu ujao wasishuke daraja
Genia Sikaluzwe
Wapambane ili wasishuke daraja,
felister
walijibweteka na matokeo ya nyuma sasa ngoja washuke daraja akili itawakaa sawa
isha
Kazeni wanangu msishuke daraja
Mariam mtandama
Ninatakiwa wapambane wasishuke
Samiah
Msishuke daraja kazeni buti
Sadick
Bado mechi 4 ligi iishe hakuna maajabu wanaweza kufanya kubaki kwenye Bundesliga#meridianbettz
Sylvester
Werder Bremen ni klabu kongwe wakaze buti wasalie ligi kuu
Caroline
Maisha ni kupanda na kushuka
David Pere
Wanaweza kushuka daraja maana wapo kwenye Hali mbaya sanaa
Khadija
Wajipange vizuli kwa kuanza upya#meridianbettz
Dorophina
Bremen wajipange tena vizuri watafanikiwa sana
Ernest
Kweli Werder Bremen wapo vibaya sana
Gabriel
Werder Bremen wajiange tena nafasi bado wanayo nzur
lombo
dah werder bremen wanawakat mgumu sana..
Lydia Emmanuel Magoti
Duu pole yao
Frank Patrick
Ndio ukatili wa matokeo ya mpira huo razima ashuke mwingine apande
Magdalena
Wakaze buti wapande daraja
#meridianbet
Hamidu
Asante kwa taarifa#meridianbettz
Mwajuma
Mpira mchezo wakikatili inabidi wapambane wabaki kwenye ligi
mwakalosi
wakijipanga next season wamaweza fanya vizr na kurejea tena
Povel
Wapambane wanawez salia kubak ligi kuu Kama nafas wanayo thnks meridian bet tz kwa update za michezo
Shafii
Duh majanga
mathayo sonje
Mmmmh!! mambo yashakua magumu kwao wakajipange upyaaa
Theonestina
Wajitaidi kucheza ili wasishuke daraja
Hidaya
Wakaze tu mbona kila kitu kinawezekana.
Amani
Wapambane mechi zilizo bakia wajikwamue kushuka daraj
Mwanaidi
Wajitahidi kupambana wafanye vizuri mechi zilizobakia
Neema juma
Tusiwavunje moyo bado mda upo wapambaneee tu
julieth boniface
Akajipange upya tu
Emmy cleopa
Ahsante kwa taarifa #meridianbettz
christopher
Pole yao
Kenani
Dah sio poa wajipange vizur
Zeiyana
Duh pole yao
Agness
Wajipange wasikate tamaa
Fatuma kasomo
Wajitahidi wafanye vizur mechi zilizobakia