Robert Lewandowski amevuka magoli 50 kwa msimu wakati Bayern Munich walipoichapa Bayer Leverkusen kutwa taji la 20 la Kombe la Ujerumani na ni mara ya 13 kushinda mataji mawili ya nyumbani.

Free kick ya David Alaba iliwatanguliza kabla ya Serge Gnabry kuongeza la pili, ndipo Lewandowski alipopiga shuti kali ambalo lilimshinda Lukas Hradecky.
Goli la kichwa la Sven Bender liliwapa matumaini Leverkusen kabla ya Lewandowski kukamilisha sherehe ya Bayern

Kai Havertz aliifungia Leverkusen goli la penati dakika za lala salama.
Bayern Munich wameweka rekodi ya kutokufungwa mechi 26 na wakipata sare moja tangu mwezi Disemba. Ushindi katika mechi 17 mfululizo ni rekodi pia.


Ester jackson
Good news
Dorophina
Ongera kwao
Angelina
Good upadate# merianbet
Genia Sikaluzwe
Hongera nyingi Sana kwao
Caroline
Hongera Lewandowski
felister
pongezi ziende kwao
Rehema
Ongera sana kwao
Mwanahamisi
Hongera kwao
Lydia Emmanuel Magoti
Ongera kwao
Zeiyana
Ilikua bonge la gemu uzuni ulitawala kwa mashabiki wa leverkusen
Nasra
Hongera zao
Shafii
Lewandowski ni bonge la straker namkubali Sana huyu jamaa anastahili pongezi akiwa clubuni hapo
Sadick
Natabiri Lewandowski kuchukua Ballon D’or mwaka huu#meridianbettz
Franky
Safi sanaa
Hamidu
R.lewandosk ni mchezaji Bora pale b.munich ..namkubali Sana anajua kucheka na nyavu. Bigup kwake#meridianbettz
Khadija
Hongera zao#meridianbettz
Johnmary joel
Wamepambana sanaa big up#meridianbett
Fatuma kasomo
Hongera kwao
Ernest
Binafsi namuona Lewandowski akichukua tuzo mbalimabli mwakani
isha
Duuh kwa hii ni lazima apate tunzo
Revina
Meridian kwa taarifa za soka asikwambie mtu ndo wenyewe mapemaaa ukiwa shabiki wa michezo taarifa zote unazipata
Issa
Bayern ni hatari ujerumani hana mpinzan
Njiku
Hakuna kama buyermunich Ujerumani
Sabrina
Maoni:Buyern munich sio timu ya mchezo mchezo wako vizuri
Edgar
Nakubali pongez kwa bayern na kwa lewandowksi
Magdalena
Pongezi nyingi kwake
Frank Patrick
Kuna nyakati unatamani ingekuwa inaruhusiwa kuhama league waende EPL …
Devotha
Pongezi kwao
Amiri Kayera
Ni striker hatar anapoliona gor
Furahav
Bayern iko vizuri sana.
Omary lukumbi
Hongera bayern Munich kwa kutwaa taji lingine
Theckla
Bayern Munich ni Tim nzuri Sana kwa kuchukua hilo kombe ni sahihi sana
David Pere
Yani huyu Lewandowsk wampe tu tuzo zake anasitahili hata kuwa mchezaji Bora wa dunia ikibidi maana hakuna mchezaji mwingine yoyote amabye amefanya vizuri Zaid hake
mwakalosi
huyu mzee anazeeka na utamu wake
Theonestina
Saafi sana
Evaluziga
Hongera yao
warda
Hongera Yao#Meridianbettz
Tatu
Safi sana
Salma
Pongezi yao
Hope mwaikuka
👏
Mwajuma
Pongezi kwao
Flomena
Bayern Munich wameweka rekodi ya kutokufungwa mechi 26 na wakipata sare moja tangu mwezi Disemba. Ushindi katika mechi 17 mfululizo ni rekodi pia.
Asia Abdy
Safi sana
Gabriel
Good news 👍
Samiah
Safi sanaaaaa