Rangnick Kuwa Kocha Mkuu wa Milan Kuanzia Msimu wa 2020-21

AC Milan imefikia makubaliano na Ralf Rangnick kuwa kocha wao mpya wa klabu kwa msimu wa 2020-21. Mjerumani huyo atachukua nafasi ya Stefano Pioli, ambaye amekuwa akisimamia kikosi cha Milan tangu mwezi Oktoba mwaka jana.

Rangnick mwenye umri wa miaka 62 amekubali kuwa kocha mpya lakini pia atafanya majadiliano na uongozi wa Milan ili kuchanganya jukumu hilo na la mkurugenzi wa michezo, nafasi ambayo kwa sasa inashikiliwa na Paolo Maldini.

Rangnick ametambulika zaidi akiwa kocha wa zamani wa Hoffenheim na RB Leipzig huko Ujerumani na pia amewahi kuwa mkurugenzi wa michezo wa Leipzig na Red Bull Salzburg.

Ingawa kocha wa sasa wa Milan, Pioli amefanya maboresha makubwa kwa kupata matokeo mazuri katika wiki za hivi karibuni, bado klabu inashika nafasi ya saba, alama 29 nyuma ya vinara wa Ligi Juventus.

42 Komentara

    Habar njema kwa mashabik wa milan

    Jibu

    Kocha mzur sana uyu itakua bonge la deal kumpata

    Jibu

    Kocha mzuri anastahili

    Jibu

    Kocha mzuri ila aahakikishe anaifikisha a.c. milan pazuri msimu ujao

    Jibu

    Ngoja tuone nn kitakacho endelea maisha mapya akiwa kocha wa ac Milan

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Safi.

    Jibu

    Ipo poa hii kwa mashabiki wa milan

    Jibu

    Ni jambo zuri Sana ishu ni kwa wana rangnick kuona mafanikio kutoka kwa kocha huyo.

    Jibu

    Hongera.

    Jibu

    Safi sanaaa#metidianbet

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Sawa nakubali

    Jibu

    Machi 18, 2011, Schalke 04 klabu kilitangaza tu Hoffenheim darasa la Lenny badala ya Felix Magath kuwa kocha mkuu wa Schalke 04. Hii ni mara ya pili Lenny kocha wa timu. Kuongoza Schalke 04 katika Ligi ya Mabingwa mechi ya kwanza 5-2 ushindi juu ya Inter Milan, mguu pili 2-1, Inter Milan kufikiwa fainali ya Ligi Mabingwa awamu nje nusu fainali, lakini kwa bahati mbaya katika kushindwa nusu fainali kwa Manchester United. Septemba 22, 2011, Schalke 04 klabu ghafla alitangaza kujiuzulu kwake kwa sababu za kiafya Lenny, E. Cohen, msaidizi timu itakuwa muda katika malipo ya timu, Lenny alisema hivi: “Baada ya mashauriano ya muda mrefu, Najisikia kama mimi haja ya kupumzika kwa muda fulani, hii ni maamuzi magumu sana, lakini sasa mimi ni upungufu mkubwa wa nguvu zao, imekuwa hawawezi kuendelea kusaidia timu kufanikiwa. baada ya mimi kuondoka, timu bado kubariki salio ya msimu kwa mafanikio. “[2] Lenny tena kuzidiwa kujiuzulu kutoka ofisi yake tu zaidi ya miezi sita.
    Kufundisha resume
    Wakati Team
    2011.03.18-2011.09.22 Schalke 04 kocha
    2006.07.01-2011.01.01 Hoffenheim kocha
    2004.09.28-2005.12.12 Schalke 04 kocha
    2001.07.01-2004.03.07 Hannover 96 kocha
    1999.05.03-2001.02.23 Stuttgart kocha
    1997.01.01-1999.03.16 Ulm kocha
    1995.07.01-1996.12.31 Reutlingen kocha
    1985.07.01-1987.06.30 Stuttgart mbili kocha [3]

    Jibu

    Habari njema kwa timu nzima ya ac milan

    Jibu

    Axante kwa habar

    Jibu

    Iko poa habari

    Jibu

    Ni kocha anaejielewa

    Jibu

    Iko poa

    Jibu

    Rangnick ni kocha mzuri

    Jibu

    Ajitahidi tu#Meridianbettz

    Jibu

    Kocha mzuri sana

    Jibu

    Kocha mzuri Sana anastahili pongezi

    Jibu

    Hongera zake#meridianbett

    Jibu

    Tunategemea mazur kwa Milan msim ujao

    Jibu

    Hongera sana kwake anastahili

    Jibu

    Rangnick anakazi kubwa ya kufanya ili kuhakikisha timu inakuwa kwenye daraja zuri

    Jibu

    Huku kubadisha makocha kila Mara kuta wagharimu sanaa

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa Milan tuomba akafanye mapinduzi huko

    Jibu

    habari njema kwa wadau wa ac milan

    Jibu

    Yuko vizuri kocha huyu

    Jibu

    Ni habari njema kwa mashabiki wa milan

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa ac millan

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa milan#meridianbettz

    Jibu

    Taarifaa nzuri

    Jibu

    habari njema kwa mashabiki wa millani

    Jibu

    Hii taarifa ninzuri

    Jibu

    Paolo Maldini sema amejitahidi kwa kadri ya uwezo wake kuweka timu katika nafasi nzuri sema hawakuwa na Bahati

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.