AC Milan leo siku ya Jumanne wataumana na Juventus, ambao watakuwa wakitafuta ushindi wa tano mfululizo tangu kurejea kwa Serie A.
Juve wataelekea San Siro wakiwa wanaongoza ligi kwa tofauti ya alama saba mbele ya Lazio baada ya kuwafunga Bologna, Leece, Genoa,na Torino katika michezo yao minne waliyocheza.
Wakiwa kwenye mbio za kutetea ubingwa wa Serie A Juventus wamefunga magoli 13 wakati nyota wao raia wa Ureno Chridtiano Ronaldo akiweka kambani kwenye michezo yote aliyo cheza na kufanya afikishe goli 25.
Milan pia wapo katika kiwango kizuri tangu kurudi kwa ligi hiyo na hawana nia ya kupoteza mchezo huo baada ya kupoteza mchezo wa awali mwezi Novemba ambapo Juve walishinda 1-0 wakiwa uwanja wa nyumbani.
Ibrahimovic alifunga kwa mkwaju wa penati katika kipindi cha kwanza cha mchezo siku ya Jumamosi katika ushindi wa 3-0 katika dimba la Stadio Olimpico.

Mswideni huyo mwenye umri wa miaka 38 amefunga mara kumi kwenye ligi ya Serie A tangu ajiunge na AC Milan tangu ajiunge nayo tena aktokea klabu ya Galaxy yenye maskani yake USA.
Zlatan alishawahi kuichezea klabu ya Juventus kwa misimu miwili akitokea Ajax kwa dau la £12m mwezi Agosti mwaka 2004. Na mchezaji huyo atakuwa na kiu ya kuifunga klabu yake hiyo ya zamani.
Lakini Juve ambao watakuwa ugenini wanaonekana kuwa imara zaidi kwenye mtanange huo.
Upande wa Sarri wameshinda mechi kumi na Ronaldo ambae amezidi kuvunja rekodi kila akiingia uwanjani huenda akaweka rekodi mpya kwenye mchezo huo.


Povel
Don’t miss Cr7 vs Cadabla
Saupha mohamed
Bonge LA mechi
Issa
Hapa kadabla atahakikisha awaonyeshe juve ye ni fowadi matata pia lakini itakua mechi ngumu sana ambapo. Juve wanataka kuhakiksha wanachukua ubingwa
Sabrina
Maoni:Mechi kali sana hiyo
Amiri Kayera
Itakua mechi ngum San Kwa juve naamin AC Milan watatoa upinzan wakutosha
Furahav
Ac milan hatoki leo.
Omary lukumbi
Itakua game hatar sana maana Juventus sio mchezo akili yao yote iko kombe la serie A
neema hassan
Mtanange wa hatari
Theckla
Makala nzuri
Theonestina
Itakuwa mechi Kali Sana hii
Njiku
Ipo poa hii
Gabriel
Hii mech kal sana 👍
fatumakasom
itakua game hatar sana
Shafii
Tunataka kuona wakongwe wa mpira Kati ya cr7 na cadabla jinsi gani wataoneshana ubaba.
Samiah
Mechi kali sana hii
Edgar
mechi Kali sana pande zote mbili
Hamidu
Patachimbika ..Ila napeleka kwa juve
Hope mwaikuka
👏
Neema juma
Mechiii kalii
Latifa juma mohamed
Mechi kali cr7 ndan hakuna kukosa
Rehema
Bonge la makala
Zuhura omary kindamba
Hiyo mechi itakua nzuri
Caroline
Asante Kwa uchambuzi
Mwanahamisi
Big mechi
warda
Nawaombea Juve Ashinde tu#Meridianbettz
Adelta
Mechi Kali sana
Ester jackson
Mechi hii ilikuwa nzuri sana kwa upande wa Milan walikuwa makini sana na kifanikiwa kushinda
Magdalena
Ilikuwa mechi matata sana
Sauda
Makala safi sana
David Pere
Wengi wetu tulidhani mechi utakuwa ngumu sanaa kumbe daahh ingekuwa rahisi sana kwa AC Millan
Dorophina
Mechi kali vibaya hatoki mtu mpaka kieleweke
felister
mechi ilikua kali sana
isha
Mechi kali
Genia Sikaluzwe
Mechi likuwa Kali mno hiyo
Evaluziga
AC millan atoki mtu
Samira
Juve atashinda hii yupo vizuri sana
Salma
Ilikuwa baraa
Khadija
Itakuwa mechi kali sana#meridianbettz
Flomena
Mechi ilikuwa ya baridi tofauti na nilivyozan
devotha
hii mechi ilikua kawaida tu
Lydia Emmanuel Magoti
Mtanange hulikuwa watari sana palichimbika
Ernest
Bahati ililala upande wa Ac Milan