Unaweza kufikiria ukiwa na kikosi kinachojua mashambulizi haswaa! Hii ni ndoto ya Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp. Klopp anatamani kikosi chake kujaa washambualiaji ambao watakuwa wanacheka na nyavu tu.
Liverpool walifanikiwa kushinda mechi yao ya kwanza kama mabingwa wakiwa Anfield dhidi ya Aston Villa jumapili. Waliwachapa Aston Villa bao 2-0.
Jones, akiwa mmoja wa wachezaji waliosaini mkataba mpya, alicheza na nyavu kulikamata goli la pili la Liverpool. Klopp anasema anatamani kuwa na aina hii ya wachezaji.
Wachezaji wengi zaidi wanaofunga magoli anaamini wanaweza kupatikana kutoke akademi, na anaamini ndoto yake itafanikiwa klabuni hapo.
“Nawapenda sana hawa vijana waliojitolea hatma yao hapa. Akademi yetu imekuwa ikitoa wachezaji wazuri sana miaka ya hivi karibuni. Tunajaribu.”
“Ndoto ni kuwa na vijana kutoka akademi. Kuwa na kikosi kilichojaa wafungaji”
Hope mwaikuka
Wazo zuri sana
Povel
Ni habar njema kwa mashabik wa Liverpool####
Issa
Kloop ni kocha hodari anachofanya uhakikisha anakitekeleza hilo limemsaidia kuchukua ubingwa pia
Saupha mohamed
Kloop kocha bora sana ana mipango mizuri
Sabrina
Maoni:klopp ni kocha hatari hii nimoja ya mbinu ya kuiboresha timu yake
Amiri Kayera
Yes wazo zur Sana credit Kwa kloop
Furahav
Klopp yuko vizuri sana.
neema hassan
Klopp kocha mzuri sana
Theckla
Kocha mpambanaji
Omary lukumbi
Ni jambo zr nq kila kocha anapenda kuwa na washambuliaj hatar sana
Gabriel
Katika makocha wazur dunian kwenye historia hauwez kumsahau jurgen klopp maana Alianza kucheza kandanda katika timu ya vijana ya TuS Ergenzingen na baadaye FC Pforzheim. Alipotoka huko aliingia kucheza katika klabu tatu za mjini Frankfurt Eintracht Frankfurt II, Viktoria Sindlingen na Rot-Weiss Frankfurt. Mwaka 1990 alicheza kwenye mchezo akiwa na Rot-Weiss dhidi ya Mainz 05 na kuipandisha ligi daraja la pili la Bungesliga. Katika mchezo huo ulimfanya kocha wa Mainz amwangalie kwa makini na klabu hiyo ilifikia makubaliano na Rot-Weiss kusakata kabumbu kwa wenyeji hao wa Mainz. Katika miaka yake 15 Klopp ameitumikia klabu ya Mainz kabla ya kuwa meneja wa klabu hiyo. Alichukua mikoba ya kuinoa klabu hiyo mwaka 2001 hadi 2008 na kuweka rekodi ya kuwa kocha aliydumu muda mrefu kuinoa miamba hiyo ya Mainz. Katika kipindi chote Klopp alifanikiwa kuipandisha Bundesliga. Mwaka 2008 alipata fursa ya kuchukua mikoba ya kuinoa klabu ya Borussia Dortmund. Akiwa Signal Iduna Park aliiongoza kutwaa taji la Bundesliga mwaka 2011 na 2012 pia Kombe la Ligi la Ujerumani la DFB Pokali mwaka 2012, DFL Super Cup 2013 na 2014. Mbali na hilo alifanikiwa kuifikisha fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na kuishia kushika nafasi ya pili mwaka 2013. Klopp alitwaa tuzo ya Kocha Bora wa mwaka wa Ujerumani mwaka 2011 na 2012 kabla ya kuondoka nchini humo na kutimkia England mwaka 2015. Akiwa Dortmund nako aliweka rekodi ya kuwa kocha alaiyedumu muda mrefu kuiongoza BVB. Oktoba 2015 alitua katika viwanja vya Merseyside huko Anfield
Njiku
Safi klopp akiri nyingi
fatumakasom
Safi yupo vizur
Shafii
Kloop utatisha Sana katika eneo la ushambuliji ila Ina paswa uangalie sehemu ya kiungo na beki kwa sababu ni msingi mkubwa wa ushindi katika timu.
Samiah
Kocha klopp yupo vzr
Edgar
Upo vzr na hii itazidi kuimaoisha kikos cha Liverpool na kujipanga kwa msimu ujao..
Hamidu
Good idea#meridianbettz
Neema juma
Kocha yuko sahihii
Latifa juma mohamed
Mashabiki Liverpool habar njema
Rehema
Kloop namkubali sn
Caroline
Iyo ndoto yako ni nzuri
Asia Abdy
Clopp anajua anachokifanya n kocha mzur san
warda
Klopp Sasa hivi Anajidai sana#Meridianbettz
Adelta
Klopp Yuko vizuri sana
Mwanahamisi
Klopp Yuko vizuri
Genia Sikaluzwe
Klopp ni kocha mzuri sana huyo
Magdalena
Klopp ni kocha anatumia akili nyingi sana
David Pere
Utakuwa ni vizuri sanaa maana bila ya kuwa na washambuliaji wengi huwezi kuifanya vizuri pale baadhi ya washambuliaji wanapopaya majeraha
Dorophina
Liver kwa sasa wapo vizuri sana cha msingi Ni ela tu ya kusajilia wachezaji wakali
felister
Klopp yupo vizuri
Tatu
Safi sana klopp ni wazo nzuri
isha
Klopp namkubali sana mtu mbaya
Samira
Klopp jembe sana ana future nzuri sana na timu yake
Evaluziga
Kocha mmpambanaji
Salma
Yupo sahihi kama atafanikiw mpango wake
Khadija
Wazo zuli kwa mashabiki wa livepool#meridianbettz
devotha
kocha yupo sahihi
Isaya massawe
Amewaza jambo zuri sana
Lydia Emmanuel Magoti
Jurgen Klopp anajua nini anakifanya kocha huyo
Mariam mtandama
Kocha yupo sahihi
Ernest
Hapa nimemkubali Klopp
Nasra
Kocha yuko vzuri sana