Mturo, Kuamua Simba vs Yanga

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza waamuzi wa mechi ya nusu fainali ya Kombe la FA kati ya Simba SC na Yanga SC uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Itakuwa ni Kariakoo dabi ya tatu kwa mzimu huu huku mbili zikiwa za Ligi, ya kwanza ilimalizika kwa sare ya 2-2 na ya pili Yanga walishina kwa 1-0 la Bernard Morrison.

Kamishina wa mechi atakuwa Ally Katolila kutoka Dar es Salaam, atakuwa na Nadeem Aloyce, Ramadhan Kayoko, Frank Komba na Kassim Mpanga.

Mwamuzi wa kati ni Abubakar Mturo kutoka Mtwara akisaidiwa na Abdallah Mwinyimkuu kutoka Singida.

Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara waliwatoa Azam FC kwenye robo fainali kwa ushindi a 2-0.

54 Komentara

    Mambo ayo ya jumapili

    Jibu

    kwa kweli iyo kesho nasubiri kuona yanga akimfunga simba

    Jibu

    Simba lazima tuue mtu

    Jibu

    Naingojea kwa hamu watani wa jadi mechi si ya kuizungumzia tunataka tuone kitakacho jili jpili

    Jibu

    Hapo n mwendo wa kusubiria dakika 90 ndo mshindi atapatikana

    Jibu

    Kesho mbabe atajulikana

    Jibu

    Simba hana mpinzani kabisa

    Jibu

    litakufa jitu iyo kesho

    Jibu

    Yanga ushindi ni wetu

    Jibu

    Kesho kitaeleweka

    Jibu

    Mambo yameiva sasa kesho tutaona anaeenda kulala mapema atakuwa nani kila la heri katika mechi ya watani wajadi

    Jibu

    Asante meridianbet #kwa taarifa

    Jibu

    Simba lazima tulihue jitu taree 12 patachimbika

    Jibu

    Kesho patachimbika#meridianbettz

    Jibu

    Akitoa boko ni kipigo tu kina muusu

    Jibu

    Mturo ni mwamuzi anaejua kazi yake ,na mchezo ni dk 90

    Jibu

    Ni msimamizi mzuri sana

    Jibu

    Kila lakheri kwa timu zetu zote mbili

    Jibu

    Kwa sasa hii ndio mechi ya homa ya jiji ndani ya Dar es salaam, huku Morrison huku Chama.

    Jibu

    Ngoj tuone K/Koo dabi Ila waamuz wameshndwa kufuata sheria 17 za mchezo wa mpr wa miguu thnks kwa update

    Jibu

    Hii imekaa poa sana

    Jibu

    saf san

    Jibu

    waamuz wameshndwa kufuata sheria 17 za mchezo wa mpr wa miguu thnks kwa update#meridianbettz

    Jibu

    Simba lzima tumle mtu 🦁🦁🦁

    Jibu

    Ipo poa hii

    Jibu

    Tunatak refa achezesh Kwa haki

    Jibu

    Hii imekaa fresh

    Jibu

    Simba lazima ichukue ushind#meridianbettz

    Jibu

    Mambo uwanjani bhn

    Jibu

    Simba anakaa mapema tuu

    Jibu

    Simba mapema anamfunga mtu kesho

    Jibu

    Hatumwi mtoto dukani.

    Jibu

    Atumwi mtt dukani

    Jibu

    Ngoma kati hiyo

    Jibu

    kila la kheri muamuzi katika kazi yako

    Jibu

    Ni refa mzur

    Jibu

    Tunashida kubwa kwenye eneo hili,waamuzi wengi wana uwezo mdogo kuchezesha mpira kuzingatia sheria 17 za Soka#meridianbettz

    Jibu

    Yanga lazima afe kesho

    Jibu

    Itakua mechi ngumu na hamasa kubwa mnoo

    Jibu

    Aya kazi ipo

    Jibu

    Hapa kazi itakuwepo kweli ngoja tujionee

    Jibu

    Hyo sio yakukosa

    Jibu

    Kesho kujionea yake mnyama lazima ageuke kitoweo , yanga iko imara mwamuz sheria za mpira miguu zifuatwe.

    Jibu

    Bongo mechi ishachezwa kitambo hiyo

    Jibu

    Huyu maamuzi ataweza kweli

    Jibu

    Simba wajiandae kudondoshwaa

    Jibu

    Safi Sana

    Jibu

    Ni muamuzi mzuri.

    Jibu

    bonge la refa aisee

    Jibu

    Amefanya kazi nzuri sana #Meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Ameitendea haki kazi yake

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.