Bakari Mwamnyeto Atua Yanga

Bakari Mwamnyeto beki kisiki wa Coastal Union leo Agosti Mosi amesaini dili la miaka miwili kuitumikia Klabu ya Yanga.

Nyota huyo alikuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga kwa muda mrefu ambapo walikuwa wakivutana kwenye upande wa maslahi.

Baada ya kufikia makubaliano mazuri kwa pande zote mbili kati ya Yanga na mchezaji pamoja na uongozi hatimaye leo amesaini dili la miaka miwili.

Akiwa Coastal Union alikuwa ni nahodha ambaye ameongoza kikosi chake kumaliza ndani ya 10 bora .

Kwenye msimamo kipo nafasi ya 7 baada ya kucheza mechi 38 kimefungwa mabao 30 huku ikifunga jumla ya mabao 33 naye akitupia bao moja.



Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.

Cheza Hapa Sasa

48 Komentara

    Timu ya wananchi wameanza mapema kuimarisha kikosi#meridianbettz

    Jibu

    Kwa beki huyu safu ya ulinzi itakuwa imara

    Jibu

    Mwamnyeko beki kisiki

    Jibu

    Huyu beki ataimarisha kikosi Cha yanga
    @meridianbettz

    Jibu

    Yanga mmejitaidi kidogo#Meridianbettz

    Jibu

    Anafaa , karibu sana..

    Jibu

    Yanga all the best…

    Jibu

    Yanga yetu

    Jibu

    Vijana wanapiga ulaji tuu, Sema Yanga wasiwe wababaishaji watu wanaangalia pia maslahi yao

    Jibu

    Pongezi yao yanga#meridianbettz

    Jibu

    Naona yanga inaimarisha kikosi sawa tunawatakia kila la kher

    Jibu

    Akalibie vema aje kupambana

    Jibu

    Haya sasa vijana muda wenu wa kuonesha uwezo.

    Jibu

    Chance for gemu

    Jibu

    Jagwani kumenoga tukutane msimu ujao

    Jibu

    Kwa usajili huu yanga inaelekea vizuri

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa yanga

    Jibu

    Mashabiki wa yanga kijana huyo ongezeni bidii#meridianbett

    Jibu

    Ni safi kwa yanga kupata beki atawasaidia safu ya ulinzi

    Jibu

    Yanga jengeni kikosi cha ushindani.

    Jibu

    Yanga wanampango wa kujenga kikosi cha msimu ujao.

    Jibu

    Hongera kwao

    Jibu

    Hana stail SHida najiulizah Timu ya wananchi inafany usajil bila kocha mkuu wala msaidiz hawachezaj nipendekezo la nan hau ndo mpr wetu kila mwenye uwez alet mchezaj wake

    Jibu

    Ukiaza kuwazungumzia mabek visiki Tanzania huwez kumuacha kumzungumzia bakar nondo mwamnyeto japo alipewa ofa mbili ambazo moja ilikuwa kwa upande wa Simba ili akawe mbadala wa erasto nyon pamoja na Pascal Wawa ambapo hapa tunaona kuwa simba wamelegea upande wa mabek
    Pia yanga ilimtaka kutokana na Kelvin yondan tunamuona kuwa bado Kama anahitabika kupata mbadala au support ila kwa mapenz tunaona kuwa nondo anaipenda sana yanga

    Jibu

    Ongera Yanga

    Jibu

    Zamu ya yanga kuandaa majeshi yao vyema

    Jibu

    Hongera yao

    Jibu

    Yanga wanajipanga mpaka raha naona lazima mwakani kieleweke

    Jibu

    Yanga mmechachamaa hatar tupu!!!

    Jibu

    saf

    Jibu

    Sawa tu

    Jibu

    Bakari naniiii

    Jibu

    Kalibu sana jangwani

    Jibu

    Aya sasa kazi kwenu yanga

    Jibu

    Safi young africana natumai msimu ujao mema yatatendeka jambo jema kumsahili bakari mwamnyeto beki mahir sana

    Jibu

    Kila laher mwamnyato

    Jibu

    Ni usajili mzuri sanaa maana mrisi wa yindani Alikuwa hayupo ,Sasa amepatikana

    Jibu

    mmh msituaminishe kama ya papy tshishimbi

    Jibu

    Hongera yanga

    Jibu

    Pamoja na kusajili wachezaji mahili lakini wanatakiwa benchi la ufundi like vizuri

    Jibu

    Beki mzuri sana

    Jibu

    Pongez sana kwa Dar young Africa kwa usajili wa mwamnyeto

    Jibu

    Duuh safi sanaaa

    Jibu

    Hongereni sana yanga kwa kuimarisha kikosi chenu

    Jibu

    Hongera yao watani zangu

    Jibu

    Bora aje kuongeza nguvu katika kikosi cha yanga

    Jibu

    Hata wakimchukua huyu kipigo kipo pale pale

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.