Eric Rutanga ni Suala la Muda tu

Beki wa kushoto wa kimataifa wa Rwanda anayeichezea Rayon Sports, Eric Rutanga ni mali ya Yanga baada ya kusema kuwa ameshasaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo.
Hivi karibuni Yanga kupitia kwa Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM, Hersi Said alisema kuwa baadhi ya wachezaji wataanza kuwasili nchini hivi karibuni baada ya kumalizika kwa Ligi Kuu Bara, ishara inayoonyesha kuwa Rutanga atatua nchini siku chache zijazo.
Rutanga amesema kuwa tayari ameshamalizana na Yanga baada ya kukubali kusaini mkataba wa miaka miwili ambapo alisema kuwa iliwabidi Yanga wamtumie mkataba kwa njia ya mtandao ‘Email’ kwa kuwa mipaka ya Rwanda haijafunguliwa.

“Namshukuru Mungu kila kitu kimeenda sawa kama ambavyo nilikuwa nikitarajia, tayari tumeshamalizana na Yanga na nimesaini mkataba wa kuitumikia kwa miaka miwili, hivyo uongozi wa Yanga umeniambia nisubiri mipaka itakapofunguliwa ya Rwanda watanitumia tiketi ya ndege.
“Hapo awali nilikuwa na mashaka kwa kuwa mipaka ilikuwa imefungwa hivyo kukamilika kwa dili langu ilikuwa ni ngumu ndiyo viongozi wa Yanga waliponitumia mkataba kupitia Email na mimi ikanibidi nisaini kisha nikatumia tena Email kuwajibu, hivyo hivi karibuni nitakuja Tanzania,” alisema beki huyo ambaye alijiunga na Rayon akitokea APR.


Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.

Cheza Hapa Sasa

49 Komentara

    Good news
    @meridianbettz

    Jibu

    kila la kheri mzee baba

    Jibu

    VPL itakuwa ya kusisimua msimu ujao kutokana na usjili unaofanywa na klabu mbali mbali

    Jibu

    Yupo vizuri sana ni beki ambaye anaijua kazi yake

    Jibu

    Yanga inafanya usajri wa tatu kuimarisha kikosi chache tayari msimu ujao. Huku Azam inasajiri na kule Wekundu wanasajiri kikosi imara kushiriki klabu Bingwa Africa#meridianbettz

    Jibu

    Yanga sasa mambo yameiva watu wasubili makubwa zaidi hii ndio yanga ya wananchi subilini na muone

    Jibu

    Yupo vizuri sana Ni beki anayejituma #Meridianbettz

    Jibu

    Hapa Yanga wanatakiwa wajifunze kitu isije ikawa mambo kama ya Morrison bureeee

    Jibu

    Njoo lakini usiwe Kama Morrison..

    Jibu

    Hapo yanga wanatakiwa kujifunza kitu#meridianbettz

    Jibu

    Karibu sana young afrika ila kuwa makini maana wazee wa yanga hawakawii kukutimua ukizingua

    Jibu

    Safiii njoo upambane

    Jibu

    Kwa kweli anaipenda kazi yake

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Hii ni habari njema

    Jibu

    Habari mzuri kwa mashabiki wa yanga

    Jibu

    Yanga naona wanafanya mabadiliko ya kutosha ya usajili

    Jibu

    Ni beki mzuri sana anajituma kwenye kazi yake

    Jibu

    Kweli wamejipanga vizuri Vpel make wamesajili wachezaji wazuri#meridianbett

    Jibu

    Ni habari nzuri

    Jibu

    Pongezi kwa wana yanga na management nzima.

    Jibu

    Hongera kwa yanga

    Jibu

    Maproo wanakuj. Kupga HELA bongo hawanaga jipya usajil wao unatrending kwny mitandao uwanjan hawana kitu

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Karibu YANGA

    Jibu

    habar njema

    Jibu

    Kazi nzur tunasubir mabadiliko!!

    Jibu

    All ze best

    Jibu

    Watasajiri first eleven yote hao

    Jibu

    Makala nzuri

    Jibu

    Ni beki mzuri sana

    Jibu

    Beki Bora Sana naona msimu yanga c mchezo Safi Sana mnasajili vichwa vya uhakika.

    Jibu

    Safi ila ajitume zaidi tuone maajabu yake

    Jibu

    Natumaini yanga msimu ujao itakuwa poa zaid naona wanaongeza vyuma tu

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Sana Ndio muda muafaka wa kutengeneza timu ili wake kufanya vizuri msimu ujao

    Jibu

    hongera mtani

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Jambo zuri Sana kwa yanga

    Jibu

    Ni habari njema

    Jibu

    Kila LA kheri

    Jibu

    Usajili mzr kwa Dar young Africa

    Jibu

    KIla la kheri

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Habari njema Sana

    Jibu

    Yanga naona hawataki mchezo safari hii

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.