Dybala amepata tuzo ya Heshima ya MVP kwa msimu 2019-20 baada ya kucheza kwa kiwango kizuri na kuisadia timu ya Juventus kutetea ubingwa wa Serie A, lakini mchezaji mwenzake Ronaldo hakutajwa kwenye tuzo hizo.
Dybala amefunga magoli 11 na kutoa pasi za mabao sita katika ligi ikiwa Bianconeri walifanikiwa kutwaa mara tisa ubingwa huo wa Serie A.
Mchezaji huyo wa kimataifa na timu ya taifa ya Argentina aliongoza kwenye viwango, hii ni kwa mujibu wa uchunguzi wa Stats Performs waliweza kukusanya takwimu kutoka kwenye michuano ya Coppa Italia na Supercoppa Italiana pamoja na Serie A.

Ronaldo ameifungia Juve magoli 31 lakini Mreno huyo alipigwa bao na mshambuliaji bora wa msimu Ciro Immobile, ambaye alifikia rekodi ya kufunga magoli mengi kwa msimu mmoja rekodi ya mkongwe Gonzalo Higuan kwa kufunga magoli 36 ndani ya msimu huu akiwa na timu ya Lazio.
Kulikuwa na mafaniko ya juu kabisa kwa mabingwa, walakini Wojciech Szcesny alitajwa kama Golikipa bora, na beki wa Inter Stefan de Vrij alitajwa kama beki bora.
Alejandro Gomez aliyeisaidia Atalanta kumaliza katika nafasi ya tatu alipata tuzo ya kiungo bora wa msimu, Dejan Kulusevski alitajwa kama mchezaji chipukizi wa msimu baada ya kuwa na msimu wa kuvutia akitokea Parma kwa mkopo.
” Ulikuwa ni mwaka mgumu, lakini hawa wachezaji wametuonesha vipaji vyao katika michezo yote waliyo cheza na walicheza kwa kiwango kikubwa,” Luigi De Siervo Mkurugenzi mkuu wa Serie A alisema alipokuwa akiwatangaza washindi wa tuzo hizo.
Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.


Rehema
Asante meridianbet kwa taarifa
Sauda
Hongera sana Dybala, kaza buti
Franky
Katisha kinyama yani
Caroline
Hongera Sana Dyabala
Nasra
Gud news
Mwajumah
Pongezi kwake Dyabala#Meridianbettz
Adelta
Pongezi kwake
Yani ametisha sana#meridianbettz
Mwanahamisi
Pongezi sana dyabala
Ester jackson
Pongezi kwake dybala kwa kupata tunzo hiyo na wezake hapo ndipo pakuigwa na sio kuweka mazoea kwamba kila siku atakuwa ronaldo au messi kutokana na umaarufu wao hapana uwezo wako ndio faida yako wachezaji wa bongo igeni kwa wezonu sasa wanafurahia walichopanda.
magdalena
dyabala ana jitihada sana
Dorophina
Ongera kwake dyabala
warda
Jamani Mbona Ronaldo ndo kaipaisha Juve #Meridianbettz
Zeiyana
Toka mapunziko ya korona ligi msimu huu kumekua na mabadiliko makubwa sana ongera sana dybala kwa hatua uliyopiga
felister
pongezi kwake ametisha balaa
Njiku
Wachezaji wote wamefanya poa sana naamini ronaldo ni mchezaji mzuri sana licha ya kukosa taji lolote ila ajitahidi msimu ujao achukue tuzo yeyote seriaA
Zuhura omary kindamba
Hongera sana kwake
aisha
Pongezi nyingi zimfikie dybala
Tatu
Pongezi kwake
Fatina mfingi
Pongezi kwake
Sadick
Duh nadhani CR7 alistahili tuzo mojawapo,sijaona sababu za msingi kukosa tuzo#meridianbettz
Latifa juma mohamed
Pongezi kwake.
Khadija
Pongezi kwake#meridianbettz
Salma ngende
Pongezi kwake
Gabriel
Dybala amejitahid sana kiukwel hivyo anastahili kupewa tuzo hiyo
Shafii
Dybala alistahili iyo tuzo ni mchezaji ambaye namkubali Sana.
Neema juma
Hongera yake Dybala
Issa
Mmh dyabala lakin alikuwa majeruh kwa muda na alikuwa mechi zingine anakula bench sa sijajua wamchagua kwa vigezo vipi
Frank
Amestahili kabisa Poul kakiwasha sana saana
Fatuma kasomo
Anastahili uyo tunzo
Devotha
Hongera sana Dyabala
Saupha mohamed
Hongera yake
farida ahmadi
Hongera Sana dyabala
Amiri Kayera
Ulikua msim mzur san kwake
Samiah
Pongezi nikwake
Hope mwaikuka
Hongera zake
Ernest
Dybala Amestahili hii tuzo bila kupepesa macho
Lydia Emmanuel Magoti
Ongera yake Dybala
Furahav
Hongera kwao.
Sabrina
Hongera
David Pere
Amesyahili sanaa kushinda tuzo hiyo