Pioli: "Sipati Picha" Milan Bila Donnaruma na Ibrahimovic.

Stefano Pioli “Sipati picha” Milan bila Gianluigi Donnarumma na amesema klabu inaendelea kumshawishi mshambuliaji mkongwe Zlatan Ibrahimovic kuendelea kubaki Milan kwa msimu mwingine.

Kiongozi wa Milan Ricky Massara aliweka bayana mazungumzo yanaendelea na nyota hao wote wawili.

Donnarumma alicheza mchezo wa kwanza akiwa na umri wa maika 16 kwenye msimu wa 2015-16 na alisaini mkataba na Rosseneri mpaka mwaka 2021, wakati mkataba wa muda mfupi na Ibrahimovic unaacha kufanya kazi mwezi Januari.

Na kocha wa Milan Pioli, aliongeza mkataba wa miaka miwili kuendelea kuinoa timu hiyo siku kadhaa zilizopita, amelenga kuwataka wachezaji hao kuongeza muda wa kuendelea kukaa hapo Milan.

“Sipati picha Milan bila uwepo wa Donnarumma,” aliiambia La Repubblica.
“Kwa sasa ana miaka 21, anauzoefu na anaweza kuwa nahodha.

“Ni mmoja ya magolikipa bora ulimwenguni na ataweza kuwa bora kuliko wote.

Pioli aliongeza: “Ibrahimovic amefanya kila kitu kuwa rahisi ni kujidanganya kulinganisha umri wake na yeye mwenyewe. Asilimia 100 yupo sawa na anafanya mazoezi kila tunafanya hivyo.

“Paolo [Maldini],[Ivan] Gazidis, Massara na mimi wote tunamshawishi aendelee kuwa nasi.

Milan wamemaliza msimu 2019-20 wakiwa na moto, kwani hawakufungwa katika michezo 13 kwenye mashindano yote tangu kurejea kwa mashindano.


Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.

soma zaidi

46 Komentara

    Yajengen tu

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Yani hao millan waogopa tu kumuacha Zlatan aondoke mbona wanaweza pasipo yeye kuna vijana wanauwezo sana apo millan wakiandaliwa vizuri huyo Zlatan angestaafu tu akawa mwalimu

    Jibu

    Zlatan Ibrahimovic alishaweka wazi kutoendelea na Milan wanahitaji kufanya replacement hapa

    Jibu

    Nikweli bila waho gemu inakuwa ngumu kwao Milani waya pange tuu kieleweke

    Jibu

    Maoni:sijuii itakuwaje yani daaaa

    Jibu

    Wanatakiwa wafikie muhafaka mapema tu

    Jibu

    Me nawashangaa Milan kumng’ang’ania kizee hicho mpk lin wakat muda huu n mzur wa kufanya mabadiliko ili kupata vijana wazur ambao wanauwezo wa kufanya vzur

    Jibu

    Ikiwa kweli Milan inataka kurejea kwenye kundi la Klabu bora na shindani Duniani ni kuwa wachezaji wenye uwezo ambao itawatumia muda mrefu kufikia lengo. Ibrahimovic atumike kwenye nafasi za uongozi#meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    waafikiane tu jamani

    Jibu

    Ni safi kwa ibra na kombinesheni hiyo

    Jibu

    inatakiwa wafikie muafaka#meridianbettz

    Jibu

    Wahenga wana sema safari na wazee kadabla Kama inahitajika huduma yake clubuni hapo abaki.

    Jibu

    Ameshazeeka n muda wa kufanya mabadiliko Milan kuliko mtegemea Ibrahimovic wakati Kuna wachezaji vijana wenye uwezo kushinda yeye

    Jibu

    mkongwe Zlatan Ibrahimovic kama akibaki Milan itakuwa powa sana

    Jibu

    Ni suala la kuafikiana tu!!!

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Waafikiane tuu

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    mambo ni moto na meridianbet

    Jibu

    Ibramovic bado yuko vizuri japo umri umekwenda.

    Jibu

    Ibrakadabra bado anauweza Sana ..lakini umri ndo shida. AC Milan tafuteni changamoto nyingine#meridianbettz

    Jibu

    Ibramovic Bado Yuko vizuri Sana hata kama umri umeenda

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Duuuh atar

    Jibu

    Duu nomaaa

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Watampata tabu Sanaa maana timu itapwaya sanaa na kupoteza mwelekeo kabisaa

    Jibu

    Milan bila Ibrahim sidhani kama itawezekana

    Jibu

    Hataaar iyo!!!!

    Jibu

    Abaki tu jamani sasa anahangaika nini#Meridianbettz

    Jibu

    Millan bila ibra sio millan#Meridianbettz

    Jibu

    milan wapambane sana

    Jibu

    Ibrahimovic bado hana mchango mkubwa sana pale inter Milan kama hitawezekana asaini kama kocha msaidizi

    Jibu

    Huu ni mtihani mkubwa Sana kwa Milan

    Jibu

    Aisee ata Mimi sipati pichaa

    Jibu

    Makubaliano ndio kitu muhimu

    Jibu

    Mambo yatakuwa mazuru tu

    Jibu

    Huo ni mtihani kwa timu ya milan

    Jibu

    Itapwaya na kua si imara sana kama ilivyo msimu

    Jibu

    Sipati picha Milan bila uwepo wa Donnarumma,” aliiambia La Repubblica.

    Jibu

    Makubaliano ni kitu kizur

    Jibu

    Habari njemaa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.