Neymar Kuikosa Fainali ya UCL?

Hofu imetanda kwa mashabiki wa PSG na cha ajabu hofu hiyo inatokana na tukio la baada ya mchezo wa jana kati ya PSG na RB Leizpg ambapo Neymar alibadilishana jezi na mlinzi wa Leizpg Marcel Halstenberg.

Sasa ishu iko hivi, si unakumbuka baada ya UCL kuanza UEFA walitoa muongozo wa namna mechi zitakavyochezwa?wakisisitiza uchukuaji wa tahadhari kwa wachezaji wakati wa mechi ili kujikinga na Corona!

Katika document ambayo ilikua na kurasa 31 UEFA walisema wachezaji watatakiwa kukaa kwa umbali wa mita moja walioko benchi huku viongozi wakiambiwa kuhusu uvaaji wa masks.

Sii hivyo tu bali pia katika kuhakikisha wachezaji wanachukua tahadhari kuhusu ugonjwa wa Corona, UEFA walisisitiza wachezaji kuepuka kubadilishana jezi baada ya mechi kuisha sheria ambayo Neymar ameikiuka.

UEFA hawajasema ni hatua gani ambayo mtu atakayekiuka sheria hizo atachukuliwa lakini wamesema hiyo itahesabiwa kama tukio moja la utovu wa nidhamu(kukiuka maagizo yao).


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma Zaidi

30 Komentara

    Hapo wajiandae kutozwa faini tu

    Jibu

    Kama neymar anastahili adhabu basi sheria ichukue hatua.

    Jibu

    Sheria ifuate mkondo wake hapo

    Jibu

    Hapo wajiandae kutozwa fain tu#Meridianbettz

    Jibu

    Mpira una sheria zake, lazima zifuatwe..

    Jibu

    Sheria ifuate mkondo wake iwe funzo

    Jibu

    UEFA na rungu la kipepe, tusubiri tuone lakini kumzuia kutocheza fainali halitakuwa jambo jema

    Jibu

    Daah..!ni bora hiwe onyo tu na sio kupewa azabu jamani so kipindi cha kolona himekua wakati mgumu sana hadi kufikia kuizoea hii ali ukiangalia mazoea waliyo jijengea itakua ngumu kidogo

    Jibu

    hapo sheria ifate mkondo wake

    Jibu

    Daah kwa kweli itakuwa hatari zaidi kwao mana pambano linalokuja mbele yao ni gumu sana ila FIFA hawakutoa kwamba kama ukibadilishana jezi utatozwa pesa au utafungiwa mechi kucheza bado msimpatie adhabu ambayo itamkosesha kuingia uwanjani sisi mashabiki tunataka mchezo usio na lawama

    Jibu

    Hapo kulipa faini inahusika

    Jibu

    Hapo wajiandaye na fain
    @meridianbettz

    Jibu

    Sheria ifuate mkondo wake

    Jibu

    sheria inabidi ifatwe

    Jibu

    Sheria inabidi ifatwe nahapo Kama ajapigwa fain Apo sijui Wana wakati mgumu Sana PSG wajifue zaidi ziopoa hii

    Jibu

    Sheria lazima ifatwe hapo sio poa hii

    Jibu

    Itakuwa ni kujisahau tyuu ila kama sheria imekiukwa bora adhabu iwe faini ila siyo kukosa fainal jamani

    Jibu

    Maamuzi yote anayo viongozi wao#meridianbett

    Jibu

    Itumike sheria

    Jibu

    Mmh mchezaj mkubw lung alitomkuta

    Jibu

    Daah majanga.

    Jibu

    Duuuh! Hizo sheria zimekuwa ngumu sana kwa wenzetu maana ata kitendo cha kubadilisha jez Kuna fain

    Jibu

    Duuh hatarii

    Jibu

    Viongz watoe uwamuz

    Jibu

    Atar

    Jibu

    UEFA na rungu la kipepe, tusubiri tuone lakini kumzuia kutocheza fainali halitakuwa jambo jema

    Jibu

    Dogo nae kwa kuaribu hajambo

    Jibu

    hapo wajiandae kutozwa faini

    Jibu

    Duh

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.