Modric - Tottenham Walinibania Nisiende Chelsea

Luka Modric kuhusu Tottenham kuzuia usajili wake wa kujiunga na Chelsea mwaka 2011;
“Roman Abramovich hakutaka kuzunguka sana, Nilifika kwenye boti yake na kuniambia tunajua weee ni mchezaji mzuri sana hivyo tunataka usaini Chelsea. Nami pia nilitamani hilo litokee.”

“Kwangu niliona kabisa huu ni muda sahihi wa kujiunga na klabu inayopambania kutwaa mataji jambo ambalo sikuwa nikiliona likitokea ndani ya Tottenham.”

“Roman aliniuliza kama nafikiri Tottenham wataniruhusu nijiunge nayo, nikamjibu kwamba nafikiri usajili utakuwa mgumu sana kwasababu nilijua Chelsea na Tottenham hazikuwa na mahusiano mazuri.”

“Nakumbuka kabla ya michezo ya kujiandaa na msimu mpya, nilimfata mwenyekiti (Daniel Levy) na tukaongea vizuri sana ingawa vyombo vya habari huwa vinaripoti kwamba kuliibuka mzozo, lakini ukweli tuliongea vizuri kabisa.”

“Nakumbuka aliniambia hawatokuwa tayari kuniuza kwa dau lolote na kuniambia wananihitaji niendelee kubaki.”

Modric alicheza msimu huo wa 2011-2012 kwa mafanikio kisha baada ya msimu kuisha akauzwa kwenda Real Madrid.


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma Zaidi

30 Komentara

    Kwa kipindi kile Chelsea kweli ilikua na kiu kubwa katika kuinasa kandarasi ya modric hii nadhani walikua wanaogopa kuwauzia siraha maadui.

    Jibu

    Modric fund Wa mpila Namkubali sana

    Jibu

    Duh kwl hakunaga Siri dunian mm nilikuwah cjui hlo mkongwe maestro Luka modric kafunguka thnks .meridian bet kwa update

    Jibu

    Modric ni fund sana wa mpira anajua sana uyu jamaa#Meridianbettz

    Jibu

    Modric jembe.

    Jibu

    Modric talent player

    Jibu

    Modric alikuwa moto sana Spurs wasingeweza kuuza Bomu ndani ya Uingereza nipia mahusiano kati ya timu na timu uchangia hili

    Jibu

    Ulikua wakati mgumu sana kwa modric kipindi kile ukiangalia yeye ndoto yake kuichezea clabu inayo pambania kutwa mataji jambo ambalo Tottenham alijawi kutokea

    Jibu

    Asante kwa makala nzuri

    Jibu

    Modric ni mchezaji mzuri sana ila Luna timu ambazo zinaweza kuzima ndoto za wachezaji kwa sababu zao kwani hamana sheria inayo weka masuluhisho baina ya timu na timu nyingine jaman

    Jibu

    Modric yuko vizuri namkubali sana

    Jibu

    Modric Yuko vizuri uwanjani
    @meridianbettz

    Jibu

    Modric Ni mchezaji mzuri

    Jibu

    modric amekuwa zaidi ya mchezaji anajituma na anajua nini anakifanya awapo katika imaya za uwanja

    Jibu

    Modric nimcezaji mzuri Sana nibonge lamchezaji anajua Nini anakifanya kwenye kaz yake namkubali

    Jibu

    Modric yupo vizuri

    Jibu

    Modric fund wa mpila

    Jibu

    Makala nzuri.

    Jibu

    Luka Modric ni mchezaji mzur sana na yuko vzur na pia n kiungo muhimu sana

    Jibu

    Ningumu kumuuza mchezaji chipukizi kama huyo#meridianbett

    Jibu

    Dah wameon bola aende mbar

    Jibu

    Modric ni balaa

    Jibu

    Good newz

    Jibu

    Daniel Levy anajulikana kama difficult negotiator hivyo haingekuwa rahisi na bei yake ingekuwa kubwa kupindukia#meridianbettz

    Jibu

    Yupo vzr modric

    Jibu

    Modric jeshi

    Jibu

    Modric alicheza msimu huo wa 2011-2012 kwa mafanikio kisha baada ya msimu kuisha akauzwa kwenda Real Madrid.

    Jibu

    Walikuwa bado wanamuhitaji#Meridianbettz

    Jibu

    Modric kiungo mzuri sana

    Jibu

    Kumbe

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.