Mshauri wa Neymar Jr – Wagner amesisitiza winga huyo hatoondoka PSG msimu huu kama watu wengi anavyodhani kwamba ni muda sahihi kurudi Barca.
Kufuatia msimu mbaya kwa timu ya Barcelona, baadhi ya mashabiki wa soka na vyombo vya habari duniani vinadhani ni wakati muafaka wa Neymar kurejea katika timu hiyo ambayo wameanza kufanya mabadiliko makubwa.
Wagner anaamini rafiki yake atabaki PSG na kinachowezekana kufanyika ni Messi na Ronaldo kuhamia PSG kama raisi wa timu hiyo atakuwa na pesa za kufanikisha hilo.

Akizungumza na Veja, Wagner amesema ” Neymar anafuraha na ninadhani atabaki PSG kwa misimu mingine miwili ijayo. Kwa sasa, bila shaka ni rahisi kwa Messi kwenda PSG kuliko Neymar kurudi Barca. Messi na Ronaldo, huwezi kuwa na mashaka na uchumi wa Qatar.
“Kuna wakati alikuwa na huzuni kutokana na majeruhi. Kipindi kile alikuwa tayari kuondoka, kurudi Barcelona au kwenda Real Madrid. Sio leo, unaweza kuiona furaha yake.
Wagner anaamini Neymar anaweza kushinda tuzo ya Ballon d’Or.
“Leo hii amewazidi Messi na Ronaldo, kuanzia akili mpaka uwezo. Anastahili, kiuhalisia tuzo itakuwa ni kati ya Neymar, Kylian [Mbappe] and Robert [Lewandowski].
“Fainali ya Ligi ya Mabingwa itatuonesha nani ni bora zaidi duniani. Itakuwa ni fainali ngumu kwa sababu Bayern wanatimu nzuri.”

PSG wameweka rekodi ya kufika hatua ya fainali ya Ligi ya Mabingwa kwa mara ya kwanza msimu huu na watakutana uso kwa uso na Bayern Munich ambao ni wazoefu wa UEFA. Mtanange huu utachezwa jijini Lisbon – Ureno katika dimba la Estadio de Luz.
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.


Janeflora malisa
Ni vzr
Latifa juma mohamed
Neymar anafuraha ya kuendelea kubaki PSG kwa misimu mingine miwili ijayo. Kwa sasa, bila shaka ni rahisi kwa Messi kwenda PSG kuliko Neymar kurudi Barca,coz anaonyesha uwezo mkubwa neymer.
David Pere
Neymar anafuraha ya kuendelea kubaki PSG kwa misimu mingine miwili ijayo. Kwa sasa, bila shaka ni rahisi kwa Messi kwenda PSG kuliko Neymar kurudi Barca,coz anaonyesha uwezo mkubwa neymer Ila bado Ana utoto kidogo.
Fatuma kasomo
Habari njema
Mwanahamisi
Ngoja fainali ya uefa ipite ndio tutapata habari kamili
warda
Bora abaki tu mana Bac alipopataka pesha kuwa pabaya#Meridianbettz
Ernest
Mapema sana kuongelea Mustakabari wa maisha ya Neymar ndani ya PSG, Acha UEFA ipite kwanza
Ester jackson
Kweli kabisa neymaar hafai kurudi Barcelona mana Mara ya kwanza hawakumtaka ila hasaivi wanataka kwa sababu tu wameona kuwa wamepotea njia abaki hapo hapo
Caroline
Neymar ni wa ,PSG jmn
Sauda
Safi sana
rama
Maoni:nikwel psg bado wanaitaji mchango wake kwenye timu
Nasra
Gud news
Mwajumah
Ngoja fainali ya uefa ipite ndio tutapata habari kamili#Meridianbettz
Dorophina
Ni bora akabi PSG Neymar naona kama kunamfaa
felister
tusubirie fainali ya uefa iishe ndo uo mjadala uanze
Zeiyana
Hayo maamuzi yake mwenyew siku zote wachezaji mastaa wanajichagulia mwenyew timu wanazo taka wao kuzichezea..!ukiangalia pale PSG bado wanakikosi kizuri tu
Adelta
Safi sana
@meridianbettz
Khadija
Neymar psg ndio mahala pako#meridianbettz
Magdalena
neymar psg kafika hawezi kwenda kwingine
Fatina mfingi
Neymar psg damu!!
Lydia Emmanuel Magoti
Neymar ni wa apo apo PSG natakipiga apo apo
Tatu
Neymar ni mchezaji wa PSG kwa sasa ila ikitokea kuna timu inamtaka lazma watakaa chini wajadiliane
Samira
Natamani kumona Neymar akirudi Barcelona
Asia Abdy
Haitabiriki sharo anaweza kuondoka PSG
Sadick
Kitendo cha Neymar kuhamia PSG kilishangaza sana,baadaye alijiona amefanya uamuzi mbaya. Nadani kwasasa amezoea mazingira#meridianbettz
Sabrina
Safi tu ataakibaki PSG ingawaje walio wengi wanatarajia kuona akiondoka PSG
Hope mwaikuka
Bora tu
Samiah
Safi
Gabriel
Hapa Barcelona inatakwa itafute mbadala maana Neymar kuondoka PSG Ni Jambo gumu hivyo me naiman wakamchukue CR 7 maana nilisikia tetes ambazo zikimuhusu kwamba Barcelona wanampango wa kumchukua nyota huyo wa Juventus naamin Kuna uwezekano wa Barca kusimama tena na kukaa vzur
Furahav
Akibaki atafanya jambo la mana.
Issa
Neymar kurudi barca ni rahis sana kwan mapenz ya neymar barca yapo
Devotha
Neymer asiende popote apo PSG panampendeza sana
Shafii
Kama mtazamo wake kubaki hapo sio vibaya.
Omary lukumbi
Neymar anataka kua mfalme pale psg kwa hiyo hana sabab ya kuiacha club hyo kwa sasa
aisha
Kama anahitaji kubaki basi abaki tuu
Povel
Habar njema kwa mashabik wa matajir wa ufaransa
farida ahmadi
Habari njema Sana kwa mashabiki wa PSG