Inter Hawakubali Kumshindwa Messi, Wanasaka Udhamini

Kwa mujibu wa chanzo cha habari za michezo cha La Gazzetta dello Sport, klabu ya Inter Milan bado hawajakubali kushindwa kumsajili nyota wa Barcelona ambaye kwa sasa ana shinikiza uhamisho wa kuondoka klabuni hapo.

Taarifa zinasema kuwa baada ya raisi Steven Zhangkujua gharama ya mchezaji huyu tayari anatafuta wadhamini kutoka China kuweza kukamilisha uhamisho wake.

Hata hivyo, klabu ya Manchester City bado inatajwa kuwepo kwenye rada za kuiwinda saini ya staa huyu.

Inter Milan wanatarajiwa kuwa wanaweza kukamilisha mazungumzo na kujaribu kumsajili staa huyu. 

Inter Hawakubali Kumshindwa Messi, Wanasaka Udhamini

Taarifa zaidi zinasema kutokana na mabadiliko katika masuala ya kodi kule Italia, huenda klabu za Italia zikaleta ushindani mkubwa zaidi kwenye soko la wachezaji katika dirisha hili la uhamisho.

Kwa mujibu wa La Gazzetta dello Sport, kutokana na punguzo la kodi kwa wafanyakazi wakazi wa Italia, basi itakuwa rahisi zaidi kwa Inter kuvalia njuga na kufanya makubaliano ya kumsajili Messi.

Ikumbukwe, klabu ya Barcelona hawapo tayari kumuacha Messi aondoke katika dirisha hili kwa dau la chini ya paundi milioni 700.


 

Beti Mbio za Mbwa Mubashara

Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.

Cheza Hapa

51 Komentara

    Asante kwa makala#Meridianbettz

    Jibu

    Wataweza kweli mbona kama siwaaminii

    Jibu

    Wanaweza kuchukua ili aje alete upinzan na mess

    Jibu

    Duuh Kweli inter hawakubali kushinwa!

    Jibu

    Dah Messi anaenda timu gani.mbona Kama wengi mnamuwinda

    Jibu

    Mmmm Messi watawezana kweli kwenda Inter sizani

    Jibu

    Itakuwa ngumu hapo

    Jibu

    Mmmh ngoja tuone km itawezekana.

    Jibu

    Messi haende tu man u

    Jibu

    Wataweza kwr???

    Jibu

    Messi aende tu man u

    Jibu

    Inaonekana hakuna timu ambayo haimtaki mchezaji messi ila tu nikwamba uchumi wa hela hamana mana inaonekana inter Milan wanamtaka kwa hali na Mali mpaka wanataka kutafuta mzamini wa kuwawezesha

    Jibu

    Inter itapambana ili imlete mess ili pawe na ushindan zaidi wa mess na cr7

    Jibu

    mambo ni moto na meridianbet

    Jibu

    Kila club inamuhitaji mess

    Jibu

    Mambo mazur

    Jibu

    Inter wanashindwa kujiongeza ila tuu kwa style yao ya Mpira Messi aweza chagua ata akitoka usingizini issue sio dau hapa kwa Inter

    Jibu

    Wapenzi wa mpira tunasubiri kuona wapi Messi ataelekea endapo ataondoka Barcelona#meridianbettz

    Jibu

    Duh inter hawakubali kushindwa.

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Messi ni kama mti wenye matunda mazuri kila mtu anatolea macho!!!

    Jibu

    Me nasubiri team utayochagua ninunue jezi!!!

    Jibu

    Nadhani messi kwa sasa anataka kuondoka barca atafute timu ambayo itampa vikombe kwa mda aliobakisha kwenye career yake.

    Jibu

    Hii itakua posa akitua inter

    Jibu

    Messi hawezi kuhama barcelona

    Jibu

    Wapambane

    Jibu

    Mimi nasubiri kwa hamu nione one of my best player ataenda wapi

    Jibu

    Wapande dau tu

    Jibu

    Waweke dau zuri mezan

    Jibu

    yetu macho messi mwenyewe ndo ataamua wapi patamfaa maana takribani club nyingi za uingereza zinaonesha uhitaji wa messi

    Jibu

    Ngoja tuone

    Jibu

    Messi kawa gumzo ulaya Dah sasa inter wanaweza kumsajili Messi kwa kiwango chake cha pesa ila yetu macho

    Jibu

    Wapambane tu..

    Jibu

    Duuh ngoja tuone

    Jibu

    Wanaweza endapo dau litakuwaa nonoo

    Jibu

    Dau lake kikwazo kikubwa Sana hapo

    Jibu

    Ngoja tuone

    Jibu

    Sidhani kama ghalama za messi wataziweza.

    Jibu

    Tatizo la Messi dau lake liko juu sana

    Jibu

    Kila klabu inatamani kumsajili messi

    Jibu

    International imesajir san msim huu

    Jibu

    Mess pesa ipo juu

    Jibu

    Messi sasa aangalie upepo kwengine

    Jibu

    Dau ndio kikwazo kikubwa Sana.

    Jibu

    sidhani Kama wataweza

    Jibu

    Ngoja tujionee wenyewe

    Jibu

    Wapambane watampata

    Jibu

    Kwa ali ya uchumi ilivyo polomoka sijui kama kuna clabu yoyote hitakayo weza kumsajili messi labda yeye hatake mwenyew kwenda kuichezea clabu hanayoipenda na sio kusubiri usajiri

    Jibu

    Messi hawezi kwenda Inter labda Man U

    Jibu

    Inaonekana hakuna timu ambayo haimtaki mchezaji messi ila tu nikwamba uchumi wa hela hamana mana inaonekana inter Milan wanamtaka kwa hali na Mali mpaka wanataka kutafuta mzamini wa kuwawezesha

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.