Pale Simba, hapa Namungo - Ngao ya Jamii

Kocha Mkuu wa Namungo, Hitimana Thiery amewaahidi mashabiki wa timu hiyo kuwa watafanya vizuri kwenye mchezo wao wa Ngao ya Jamii dhidi ya Simba.

Mtanange huo ni maalum kwa ajili ya ufunguzi wa msimu wa 2020/21 ambapo unatarajiwa kupigwa Agosti 30, mwaka huu kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha

Akizungumza na Goal, Hitimana amesema kuwa maandalizi yapo vizuri na wanaamini watakutana na timu kubwa hivyo watapambana.

“Wachezaji wapo tayari kwa ajili ya mchezo wetu dhidi ya Simba. Wanatambua kwamba haitakuwa kazi rahisi ila wapo tayari hivyo kilichobaki ni wakati kukamilisha yale ambayo wamejifunza.

“Tunacheza na timu kubwa, wana taji la ligi pia tulikutana kwenye Kombe la Shirikisho tukapoteza hivyo yote ninakumbuka bado sijasahau” amesema.


Beti Mbio za Mbwa Mubashara.

Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.

Cheza Hapa

46 Komentara

    Mechi nyepesi kwa simba fc hilo kombe lake

    Jibu

    Kwa simba hii hatoki mtu.

    Jibu

    Mpira dk 90 ni vizuri mnajipa Moyo namungo mtashinda

    Jibu

    Namongo Amna kitu humo Simba Wana simama hewani mechi hiyo yangao ya hisani

    Jibu

    Hapatoshi hapo

    Jibu

    Namungo wanakuja vzur kikubwa mkaze tu

    Jibu

    acha tusubiri dakika 90 ndo itakuwa jibu la kila kitu

    Jibu

    patakuwa hapotoshi hapo hila tusiongee sana mpira dk 90

    Jibu

    Mpira dakika 90 tunasubilia kitakachojiri

    Jibu

    Mnyamba simba kama namuona akifanya mauajii ya kinyamaa kwa Namungo

    Jibu

    Ha ha ha hatujali Wala nini

    Jibu

    Huu ni mchezo wa kusisimuwa mana majirani zetu kama tunawaona wanavyo ongea..

    Jibu

    Game ngumu sana hii

    Jibu

    Kwa Simba hapo atomuacha mtu salama atakula nyama mpaka mifupa atatafuna#Meridianbettz

    Jibu

    Simba lazima wachukue Kombe

    Jibu

    Ni noma sana lig inawadia tena ila yanga ni safi msimu ujao

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Namungo imeanzishwa miaka ya karibuni na naona imeanza kupata mafanikio ya haraka sana. Kwa bahati mbaya timu nyingi zimekuwa zikipanda na baada ya kushuka zinapotea kabisa#meridianbettz

    Jibu

    mambo n moto na meridianbet

    Jibu

    Kwa Simba apo wameumia.

    Jibu

    Simba kama simba baba lao,lazima wakae!!!

    Jibu

    Kila la heri

    Jibu

    Mechi itakua ya mvuto wa aina yake.

    Jibu

    Ngoja tusubir tuone

    Jibu

    Ni mwaka wa vikombe tyuu kwetu wanasimba namungo kufungwa laxima

    Jibu

    Mtanange hatarii

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Na imani kubwa na timu yangu simba lazima tuchukue hii ngao ya jamii

    Jibu

    Simba baba lao

    Jibu

    Wachezaji wapo tayari kwa ajili ya mchezo wetu dhidi ya Simba. Wanatambua kwamba haitakuwa kazi rahisi ila wapo tayari hivyo kilichobaki ni wakati kukamilisha yale ambayo wamejifunza.

    Jibu

    Ninaimani nacmba

    Jibu

    Bonge la game simba wanaasilimia kubwa ya kuchukua kwa kiwango chake ila wasiende na uwakika maana nao namungo fc sio poa wapiga vilabu vikubwa na tunaona

    Jibu

    Hao tena wapenda sifa

    Jibu

    Nasubiria mie kuona mapambano tu

    Jibu

    Bongo mnyama Hana mpinzan hapa namungo wanapigwa tena

    Jibu

    Tusije tukashudia mnyama kachinjwa hiyo siku.

    Jibu

    Namungo iko vzur sana

    Jibu

    Hii mechi itakua ngum Sana

    Jibu

    Asante kwataharifa

    Jibu

    Taarifa safi

    Jibu

    yani simba wanapendaga kujishaua

    Jibu

    Tusubiri matokeo

    Jibu

    Ila na mungo nao wana kuja na upepo wa kasi sana na kama wakiendelea hivi hivi watafika mbali sana

    Jibu

    Wesha chukua mabigwa Wenye Kombe lao

    Jibu

    Aliwaonea sanaa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.