Zlatico Krmpotick Kocha Mkuu Yanga

Klabu ya Yanga imemtambulisha Zlatico Krmpotick kuwa Kocha Mkuu wa Yanga akibeba mikoba ya Luc Eymael aliyekuwa akikinoa kikosi hicho.

Kocha huyo anatarajiwa kutua kesho Agosti 29 akiwa amepewa dili la miaka miwili kuinoa Klabu ya Yanga.
Kwa mujibu wa Injinia Hers Said amesema kuwa wamefikia makubaliano ya kumpa kandarasi kocha huyo baada ya kamati kujadili na kupitia majina ambayo walikuwa nayo.
Amewahi kuwa bingwa wa Klabu bingwa wa Afrika akiifundisha TP Mazembe pia alikuwa akiinoa Klabu ya Polokwane City.


Beti Mbio za Mbwa Mubashara.

Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.

Cheza Hapa

45 Komentara

    Kazi nzuri yanga,mmefanya chaguo sahii!!!

    Jibu

    Kazi kwake,tuone itakuaje.

    Jibu

    kazi kwake tuone itakuwaje

    Jibu

    yanga mpaka wanatia huruma juu ya kupata kocha Mungu awasaidie kwakweli

    Jibu

    Yanga hawanaga Kazi mbovu

    Jibu

    Pamoja na mapokezi mazuri lakini pia ajiandee na kupata lawama

    Jibu

    Wajipange tuuu amka kazi nyepesi kwasa Babu asaivi kila mtu ana mpania mwenzie

    Jibu

    Karibu jangwan

    Jibu

    Kumekucha kumekucha Yanga, Mpira raha sana Bongo siku zijazo nafikiria kutafuta timu ya kuishabikia sasa tunaona Soka limekuwa la kiushindani sana , Wawekezaji wajitokeze kwa wingi kusupport timu zetu zote

    Jibu

    Hii ndo yanga mpyaa

    Jibu

    Kocha mziri sana tunamatumaini kuwa ataifikisha yanga mbali mbele ya mitanzamo ya wengine

    Jibu

    Inabidi yanga ipambane sana kutwaa kombe msimu ujao

    Jibu

    Pamoja na mapokezi mazuri lkn pia ajiandae kupokea lawama#Meridianbettz

    Jibu

    Yanga msimu huu itakuwa moto sana dhaa ngoja tuone itakavyokuwa

    Jibu

    Karibu sana kwenye timu ya wajanja..

    Jibu

    Wazee wa jangwani msimu ujao patachimbika

    Jibu

    Vzr

    Jibu

    Inadaiwa makocha kutoka Serbia ni rahisi kuwaajiri, hawana gharama kubwa. Ni jambo la kusikitisha kwamba makocha wengi wamekuwa hawapati muda mrefu wa kukaa na timu#meridianbettz

    Jibu

    iko poa

    Jibu

    Rete maajabu baba

    Jibu

    Karibu mzee wana yanga tunataka mabadiliko.

    Jibu

    Karibu sana Dar young Africa

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Asante kwa habari za michezo na burudan#meridianbettz

    Jibu

    Ujio mpya wa yanga..safi

    Jibu

    Ngoja tuone kama atawasaidia kuwarudisha katika game

    Jibu

    Nasibir kwa ham nione tutakavyokuwa tunawKalisha

    Jibu

    Wellcom Tanzania

    Jibu

    Habari njema kwa yanga

    Jibu

    Yanga itakuwa ipo poa sanaa itakuwa ya moto acha tuoneee hii

    Jibu

    Karibu sana TZ

    Jibu

    Hakunaga kufeli hapo

    Jibu

    Karibu sana Tanzania

    Jibu

    Taarifa bomba

    Jibu

    Karibu jangwani tufanye kazi na wana yanga.

    Jibu

    Zlatico Krmpotick ni kocha wa kimataifa na nimzoefu sana kwenye mchezo wa mpira wa miguu

    Jibu

    Kocha anarecord nzur

    Jibu

    Asante kwataharifa

    Jibu

    karibu yanga mzee baba

    Jibu

    Karibu Sana yanga

    Jibu

    Yanga wapo vizuri sana ninacho wapendea hicho tu hwataki zarau kata mti panda mti big up sana uwongozi wa yanga hawataki maneno wanachotaka wao kuimarisha kikosi chao tu..!tunategemea matokea mengi mazuri

    Jibu

    Haya Ngoja Tuone Tarehe 18

    Jibu

    Kumekucha kumekucha Yanga, Mpira raha sana Bongo siku zijazo nafikiria kutafuta timu ya kuishabikia sasa tunaona Soka limekuwa la kiushindani sana , Wawekezaji wajitokeze kwa wingi kusupport timu zetu zote

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.