Griezmann Aliamua Kuondoka Kabla ya Kichapo 8-2

Ripoti zinasema kuwa Antoine Griezmann alikuwa tayari ameshaamua kuondoka klabuni Barcelona kabla ya kichapo cha aibu kutoka kwa Bayern Munich kwenye Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa.

Kwa maana hii, Antoine Giezmann alikuwa na mpango wa kusepa kabla ya kufanya mazungumzo na meneja wa sasa Ronald Koeman.

Griezmann amekuwa na msimu wa namna yake tangia alipoingia akitokea Atletico Madrid kwa £108m msimu wa joto uliopita. Ameweza kupata magoli 15 katika mechi zake 48 alizocheza, katika mechi hizo ni mechi 19 pekee alizocheza kipindi cha dakika 90.

Hata hivyo, wakala wa zamani wa staa huyu Eric Olhats, anasema kuwa licha ya Griezmann kuwa na mpango wa kuondoka, kwa sasa ana furaha kusalia klabuni hapo, huku Koeman akimuahidi kuwa atajenga kikosi chake bora na yeye akiwemo ikiwa Messi anaondoka klabuni hapo.

Olhats Juu ya Antoine Giezmann

“Kabla ya janga dhidi ya Bayern, Antoine alikuwa anataka kitu kimoja tu, kuondoka,” Olhats aliiambia RMC Sport.

“Alijihisi kama hakuwa sehemu ya mpango wa timu tena na mambo yasingeweza kuendelea hivyo.”

“Alikuwa anatazamia sana kuondoka. Baadaye, tunajua kilichotokea katika mazungumzo na Koeman aimuahidi kuwa yeye ni sehemu ya mpango wake, na anamchukulia kama mchezaji muhimuk wa siku zijazo”


Beti Mbio za Mbwa Mubashara

Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.

Cheza Hapa

35 Komentara

    Amekua na msimu mbovu Sana Ila avumilie team itakaa saw for next season

    Jibu

    Maneno tu hayo,aibu inamkimbiza maana walipigwa kichapo cha mbwa mwizi!!!

    Jibu

    Aliamua vizur alijua mziki wa bayern

    Jibu

    Bora yake yy

    Jibu

    Anauwezo wa kutosha kabisa kama atashirikiana na kocha wake basis wanaweza kufanya mabadiliko katika timu ya Barcelona na kwa matokeo ya Bayern hakumfanyi mchezaji akaikataa timu yake ila atapata tu maumivu ya kupata suluhisho

    Jibu

    Pongezi kwa mwalimu koeman kwa kuweza kumshawishi grezeman kubaki camp nou.

    Jibu

    Aibu aisee sio kama dharau goli nyingi sanaa

    Jibu

    hawezi ondoka yeye na coutinho

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Aliamua vizuri maana kichapo kile hakikua cha kitoto

    Jibu

    Hawezi ondoka yeye na countinho#Meridianbettz

    Jibu

    Hawezi kuondoka Barca kwa msimu huu griezmann la msimu ujao mbona wachezaji wanataka kuisaliti timu kisa kwa sababu ya kichapo cha mbwa koko

    Jibu

    Antoine Griezmann amepwaya sio yule wa Atletico Madrid nadhani kwasababu anacheza nafasi ambayo hakuwa anacheza awali#meridianbettz

    Jibu

    Bora ameamua ivy kuondoka kakimbia aibu

    Jibu

    Griezman ana mchango mkubwa Sana Barcelona

    Jibu

    Griezmann akae akijuwa kuwa pressure kutoka kwa mashabiki wa Barca bado ipo pale pale sasa ni wakati wake kudhihirisha kuwa yeye ni moto wa kuotea mbali kwa kuwapa wapenzi wa Barca kile ambacho waliamini angeweza kukifanya wakati wa kusajiliwa kwake.

    Jibu

    Bora alivyoamua maana alijua mziki wa bayern

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Aliona aibu kwa kichapo Cha maana angevumilia tuu ajipange upya

    Jibu

    Hii makala imetulia

    Jibu

    Afadhali yake

    Jibu

    Hawezi kuondoka kwani kila jambo zuli huanza na ubaya

    Jibu

    Noma sana.

    Jibu

    Asante kwataharifa

    Jibu

    Taarifa njema

    Jibu

    Haa haa usiwakumbushe bhana zimewavuluga barca zile

    Jibu

    Asnt kwa taarif

    Jibu

    Amekua na msimu mbovu sana griezimann hata ukiangalia pale barcelona bado kunauitaji mkubwa sana ili kuimarisha kikosi chao

    Jibu

    Ni bora

    Jibu

    Griezmann anaipenda sana Barc na huwa hapendi kuondoka

    Jibu

    kuondoka barca uyo jamaa ni ngumu sana labda asubiri msimu ujao uishe

    Jibu

    Uwezikupata mazuri tuu bila ya mabaya haiwezekan ila unapopata tatizo ndiyo vizuri ili kujifunza makosa yasijirudie tena hivyo akae ajipange vizuri na timu yake na viongozi wake ili barc isirudi nyuma tena#meridianbett

    Jibu

    kuondoka barcelon ngumu sana huyo jamaa

    Jibu

    Pongezi kwa mwalimu koeman kwa kuweza kumshawishi grezeman kubaki camp nou.

    Jibu

    kutoka kwa mashabiki wa Barca bado ipo pale pale sasa ni wakati wake kudhihirisha kuwa yeye ni moto wa kuotea mbali kwa kuwapa wapenzi wa Barca kile ambacho waliamini angeweza kukifanya wakati wa kusajiliwa kwake.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.