Huenda hatumtazami Mikel Arteta kwa jicho poa, ila ni kocha mmoja wa viwango sana. Hana wachezaji wa kiwango cha juu sana, ila amekazana kuitengeza timu yake ili kupata ubora wa kila mchezaji. Watazame Arsenal walivyokaba kwa nidhamu leo licha ya kutokuwa na wakabaji wazuri. Watazame walivokuwa wanabadilika kwenye ukabaji kwenda kushambulia. Narudia tena, huenda hatumtazami Mikel Arteta kwa jicho poa sana.
Jurgen Klopp anaweza kuwa na msimu mgumu sana kama ataendelea kujiamini na kutokufanya usajili dirisha hili. Mwaka wa tatu huu anakuja na kikosi kilekile. Wametumia nguvu kubwa sana kulipata taji la epl, walitumia nguvu kubwa sana kuipata UEFA, kabla ya hapo bado walifika fainali ya UEFA. Sehemu kubwa ya kikosi cha Liverpool kimechoka kimwili na kiakili. Zinahitajika sura mpya kwa ajili ya kuamsha ari. Sijui kwanini Klopp bado analichelewesha dili la Thiago Alcantara.
Arsenal wameanza huu msimu na mataji mawili. La kwanza ni FA. La pili ni kufanikiwa kumbakiza Pierre Emirick Aubameyang. Yule binadamu anajua, nafasi moja ngumu aliyoipata kipindi cha kwanza ameigeuza kuwa goli. Bado alikuwa muhimu kuziziba njia za Liverpool, bado aliwakumbusha kurudi kila mda kumdhibiti akiondoka kwenye counter attack. Narudia tena, kumbakiza Aubameyang ni kombe lingine la Arsenal.
Nadhani Klopp alimmiss zaidi Trent kuliko uwezo wa Salah. Liverpool hawakuwa hatari kabisa upande wa kulia, kibaya zaidi ni upande huo hatari za Arsenal zilipotokea. Salah alikuwa siku mbaya sana ofisini, ila haikuwa bahati mbaya. Kiran Tierney alishuka nae kiume.
Labda ni mimi tu nimemuona ukuta wa Liverpool ukicheza juu kuliko kawaida. Labda ni mimi tu nimevutiwa na utulivu wa Mohamed Elneny, labda ni mimi tu nimevutiwa na mizunguko ya Bukayo Saka. Labda ni mimi tu nimeiona mikono ya Emilano Martinez. Labda ni mimi nimewaza haya. Labda ni mimi tu.
Beti Mbio za Mbwa Mubashara
Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.


Devotha
Kweli arsenal wameonyesha uwezo wao ; pongezi kwa Arteta ni kocha mwenye uwezo
Dorophina
Arsenal jana walicheza mpira wa kiwango kizuri sana pongezi kwao
felister
arsenal jana wametudhiriishia kuwa wapo bado wapo kwenye kiwango
Mwajumah
Pongezi sana kwa Arsenal Jana walijua kucheza sana mpira wa kiwango Cha juu#Meridianbettz
Fatina mfingi
Arsenal Mambo Ni Moto!!
Rehema
Arsenal wako vizuri sana
rama
safi sana arsenal kuwa na mwanzo mzuri
Caroline
Arteta ni kocha mwenye viwango
Ernest
Kwa upande wangu kwa Liver bado naona wapo vizuri sana ila kwa upande wa Arsenal Arteta anatakiwa afanye kitu kwenye usajili ili kuboresha kikosi chake zaidi kwenye sehumu mbili tatu ikiwemo Winga zone
Povel
Congrat The gunners🤝🤝🤝
Tatu
Arsenal wamekuja kwa kasi
Latifa juma mohamed
Ahsanten arsenal mnatuonyesha ubora wenu.
Fatuma kasomo
Safi arsenal
Mwanahamisi
Safi sana arsenal
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana Arsenal kwakumpiga Liverpool kwamikwaju ya penati Mambo yalikuwa vizuri kwao
Agness
Arsenal walifanya vizuri sana
Sadick
Baada ya Arteta kuchukua mikoba ilishinda dhidi ya vigogo EPL na kwakuwa msimu ujao ataanza na timu kuanzia mwanzo bila shaka atatuonyeshakitu cha tofauti, tutarajie surprise#meridianbettz
Nasra
Uwezo wa Arsenal kwa sasa ni mzuri
Antony Luseno
Ni swala la muda na usajili ndo anachohitaji Arteta ila ana uwezo mzuri
aisha
Ahsanteni Arsenal kwa kunifurahisha jana mlicheza mpira
Amiri Kayera
Liver team zimeshajua uzaif wao
WAZIRI
Nice arsenal
farida ahmadi
Pongezi Sana arsenal
Rose kapinga
Arsenal mmekiwasha vya kutosha!!!
Hidaya
Arsenal Level imeanza kurudi
Furahav
Arteta ni kocha mzuri sana.
Sabrina
Arsenal Jana wamenikoshaaa.
Hope mwaikuka
Arsenal mmejua kunipa raha
Amani
Hii ndo maana ya kusajili nategemea mazuri kutoka arsenal
Neema
Arsenal haki ya nani wametishaa
lombo
habar njema
Zeiyana
Arsenal wasilewe sifa bashabiki wanataka kuona mengi mazuri na sio kuishia hapo tu
Samiah
Nihabar njemaa
Shafii
Kwa mwenendo huu inaonesha arteta anaweza akafit arsenal.
Saupha mohamed
Habari njema
Samira
Arsenal jana wamecheza vizuri sana na siku zote liverpool kwenye upande wa penarty hua awapo vizuri
Asia Abdy
Asanten kwa taarifaa
Issa
Arsenal msimu huu watatisha
Janeflora malisa
Nice
Ester jackson
Kocha kloppa ameona kiti cha moto kwa arsenal ndiyo ajue kwamba kupata kombe kwa zaidi ya miaka 30 sio kwamba amemaliza
Theonestina
Pongezi ziende kwa arsenal
Sauda
Arsenal kiwango chao kizuri sana
warda
Wamejitahidi sana
Johnmary joel
Wamejitahidi wazidi kujipanga vizuri zaid hongeren sana#meridianbett
magdalena
arteta kazi kubwa ya kukisuka kikosi cha arsenal kaifanya anastahili pongezi kubwa sana
David Pere
Kwa upande wangu kwa Liver bado naona wapo vizuri sana ila kwa upande wa Arsenal Arteta anatakiwa afanye kitu kwenye usajili ili kuboresha kikosi chake zaidi kwenye sehumu mbili tatu ikiwemo Winga zon
Gabriel
Arsenal Emirates jeshiii