Roma wametangaza majina tisa ya wanaowania nafasi katika Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo. Orodha hiyo inawahusisha Dan Friedkin, mwanaye Ryan na CEO Guido Fienga.
Friedkin Group walimaliza biashara ya kuinunua klabu mwezi uliopita, na kuufanya mwisho wa utawala wa James Pallotta pale Stadio Olimpico baada ya miaka 8.

Kikao cha wanahisa wa klabu hii kimepangwa kufanyika Septemba 29 kwa ajli ya kufanya maamuzi muhimu yatakayoiongoza klabu kwa takribani miaka mitatu.
Orodha ya Majina ya Wanaowania Kuingia kwenye Bodi ya Wakurugenzi Roma
-
-
-
-
-
- Dan Thomas Friedkin
- Ryan Patrick Friedkin,
- Guido Fienga
- Marcus Arthur Watts
- Eric Felen III Williamson
- Analaura Moreira-Dunkel
- Benedetta Navarra
- Mirella Pellegrini
- Ines Gandini.
-
-
-
-
Kikao cha wanahisa ndiyo kitatoa mwanga na hatma ya watia nia hawa ambao wanatarajiwa kuwa watakuwa nyuma ya maendeleo ya klabu ya AS Roma.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.


Dorophina
Mi naona kama Marcus yupo vizuri kazi inamfaa kabisa hiyo wampitishe tu
Sauda
Safi sana
Rose kapinga
Kazi nzuri!!
Sadick
Natarajia mwenyewe hisa nyingi Dan Thomas Friedkin kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa bodi#meridianbettz
Adelta
Safi sana #meridianbettz
Caroline
Naona wanajipanga
Mwajumah
Kazi nzuri#Meridianbettz
Rama
Jambo zuri sana
Nasra
Vzuri sana
Neema
Ni jambo jema sana
JULIANA WILBARD ALEX
Inapendeza
Fatina mfigi
Safi
magdalena
apitishwe tu maana yupo vizuri sana na anajituma na kujitoa pia
Mwanahamisi
Ni Jambo jema sana
aisha
Roma yuko vizuri sana
Antony Luseno
Hili ndo swala ambalo vilabu vingine vinatakiwa kufanya
Ester jackson
Ingekuwa vizuri zaidi Dan Thomas Friedkin angeongoza ingekuwa powa sana
Tumaini kasalile
Wako vizuri
Shani
Ni safi kuunda bodi mpya na kuleta Mapinduzi ndan ya klabu
Hidaya
Ni vizuri kufanya mabadiliko ili kuleta ufanisi zaidi
Rehema
Ni Jambo jema
Zeiyana
Clabu nyingi zikitumia mwenendo huu hifaa zaidi
Janeflora malisa
Vizur
Amiri Kayera
Uamuz mzur san
Saupha mohamed
Safi sana
Gabriel
Imekaa poa sana 👍 Kama Friedkin Group walimaliza biashara ya kuinunua klabu mwezi uliopita, na kuufanya mwisho wa utawala wa James Pallotta pale Stadio Olimpico baada ya miaka 8 ninamatumain nao kufanya vzur sana zaid ya pallotta
Issa
Roma safi kuiweka timu vizuri
Leonard
Roma walete mabadiliko ya kweli yenye ushindani
Hope mwaikuka
Itapendeza sana
kabogoro
wachague wajumbe wazur weny macho na utash wa kuona vipaji vya wachezaji chipkiz
Theonestina
Vizur Sana
Flomena
Roma tunataka mabadiliko Sasa
Sabrina
Inapendeza
Theckla
Kweli wameamua
Edgar
Iko vyema kabisa
Samiah
Iko poa sanaaa
Emmy cleopa
Iko vizuri sanaaa
Elika
Marcus apitishwe tu
Povel
Ni jambo zuri natumain litakuwah fundisho kwa vilabu vingne kuiga mwenendo huu
Isaya massawe
Watakua wamefanya la maana sana
Amani
Safi sana
felister
Jambo kama hili vilabu vingi vinatakiwa kufany
Latifa juma mohamed
Itapendeza Sana.
Lydia Emmanuel Magoti
Safii sana
Ernest
Pongezi kwa Dan Friedkin, Ryan na Guido Fienga ni wakati wao sasa kuifanya Roma Timu kubwa kwenye ulimwengu wa Soka
Tatu
Naona club ya roma inajipanga ili kuja kivingine
Salma ngende
Jambo nzuri
Genia Sikaluzwe
Kazi nzuri
Neema
Safii sana
David Pere
Imekaa poa sana 👍 Kama Friedkin Group walimaliza biashara ya kuinunua klabu mwezi uliopita, na kuufanya mwisho wa utawala wa James Pallotta pale Stadio Olimpico baada ya miaka 8 ninamatumain nao kufanya vzur sana zaid ya pallotta
warda
vizuri sana