Kocha wa Bayern Munich, Hansi Flick amethibitisha kuwa klabu imeamua kutoendelea na Ivan Perisic ambaye atatakiwa kurejea Inter kwa ajili ya mipango mingine.
Nyota huyu mwenye miaka 31, raia wa Croatia aliondoka kwa mkopo wa €5m huku kukiwa na sharti la kumnunua mwisho wa msimu kwa €20m.
Sharti la kumnunua halijawa chaguo la klabu ya Bayern kwa sasa baada ya kujaribu kufanya mazungumzo ya kupunguza dau la staa huyu.
“Tumeamua kutoendelea na Alvaro Odriozola, Philippe Coutinho na Ivan Perisic.”
Perisic amecheza mechi 35 kwa Bayern walipokuwa wakilisaka taji la Bundesliga na taji la Ligi ya Mabingwa UEFA. Amefunga jumla ya magoli 8 na kutoa pasi 10 za usaidizi wa magoli.
Kutokana na taarifa hii inangojewa kuona staa huyu atasalia Inter Milan au atafanyiwa mpango mwingine wa uhamisho kwenda klabu mpya.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.


Nasra
Maamuzi mazuri
Elika
Maamuzi ni mazur
Agness
Gud news
Neema
Ni fresh tu
JULIANA WILBARD ALEX
Inapendeza
Fatina mfigi
Inapendeza
magdalena
wamefanya maamuzi mazuri sana
aisha
Ivan kila la kher nenda kaonyeshe kipaji chako
Antony Luseno
Bora angeendelea kuwepo na bingwa awo wa ulaya
Sadick
Ivan Perisic ni mchezaji mzr ambaye aliisaidia sana timu yake ya Taifa Croatia kwenye mashindano ya kombe la dunia 2018#meridianbettz
Samira
Ni mchezaji mzuri na anaejituma sijui kwann wameamua kumuachia
Sauda
Wamefanya jambo la busara sana.
Shani
Perisic ni mtu muhim kurudi inter ni safi
Rose kapinga
Safiii
Caroline
Mwacheni akapate challenge
Rehema
Good news
Zeiyana
Bayern wameona hawana umuimu nae tena Ivan ndio maana wamemgawa kwenda inter
Janeflora malisa
Saf
Hidaya
Bora aende tu akabadili upepo
Adelta
Ivan Ni mchezaji mzuri na anajituma katika Kazi yake#meridianbettz
Amiri Kayera
Kila la kher
Dorophina
Ivan Ni mchezaji mzuri sana
Mwajumah
Wamefanya Jambo la busara sana#Meridianbettz
Saupha mohamed
Wamefanya jambo zuri
Gabriel
maamuzi mazuri sana
Issa
Perisic rudi nyumban ukaimarishe kikosi
Juliet
Ni vema walivoamua
Leonard
Inter imelamba dume
Hope mwaikuka
Safe journey to him
kabogoro
kijana anarud nyumban baada ya kuitumikia bayern kwa mkopo nimda wakuonyesha kiwango sas alichokipata munich.
Theonestina
Good
Ester jackson
Habari njema
Flomena
Maamuzi mazuri sana
Sabrina
Sio mbaya Ivan perisic kwenda inter
Theckla
Jambo jema
Edgar
Iko sawa kabisa inapendeza
Emmy cleopa
Amefanya huwamuzi mzur
Povel
Bayern walikuwah wanatak kumpa parmanent deal ila dau wanalolitak inter milan ndo wameshindwana ndo maana wanamuacha arud nyumban inter tu
felister
maamuzi mazuri sana
Ernest
Wote bado wachezaji wazuri sema tuu Bayern wamegoma kuendelea kuwanao kwa msimu mwingine zaidi
Tatu
Ivan bora sense inter akapate challenge nyingine huko
Lydia Emmanuel Magoti
Wamefanya mamuzi sahii
Furahav
Habari nzuri.
Salma ngende
Uwamuzi mzuri
Samiah
Gud
David Pere
kijana anarud nyumban baada ya kuitumikia bayern kwa mkopo nimda wakuonyesha kiwango sas alichokipata munich.
[email protected]
Anarudi ktk timu iliyo Bora kusaka changamoto nyingine kwa mara nyingine
Latifa juma mohamed
Ni fresh tu
warda
Lazima Walinde Maslahi ya timu
Lydia Emmanuel Magoti
Mamuzi mazuri