Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amepandichwa cheo klabuni hapo kutoka kocha mkuu wa kikosi cha kwanza hadi meneja.
Mtendaji mkuu wa Arsenal, Vinai Venkatesham, amesema uamuzi huo umetokana na mafanikio ya kocha huyo kijana tangu arithi mikoba ya raia mwenzake wa Hispania, Unai Emery, Disemba 2019.

Arteta alitambulishwa kama kocha mkuu, nafasi ambayo ilianza kutumika klabuni hapo baada ya kuondoka kwa ‘Mzee Kigogo’ Profesa Arsene Wenger mwaka 2018.
TOFAUTI YA MENEJA NA KOCHA MKUU
Kwa Uingereza, meneja huwa na mamlaka kamili juu ya wafanyakazi wenzake wote walio chini yake. Pia ndiyo mwenye kauli ya mwisho juu ya usajili na mikataba ya wachezaji.

Kocha mkuu kazi yake ni kufundisha tu na kupanga wachezaji siku ya mechi, mambo ya usajili yanakuwa chini mkurugenzi wa michezo, wa mpira au wa ufundi, kulingana na utamaduni wa klabu husika, wakati mwingine huwa chini ya mabosi wenyewe.
ARTETA
Kwa nafasi hii, Arteta atafanya kazi kwa ukaribu na mkurugenzi wa ufundi, Edu, wote wachezaji wa zamani wa klabu hiyo, japo hawakukutana.
Hata hivyo, majukumu yake ya kufundisha yanabaki pale pale, ni kama tu ameongezewa majukumu na mamlaka. Kwa sasa Arteta ana mamlaka sawa na aliyokuwa nayo Arsene Wenger kwa miaka 22 klabuni hapo.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.


Adelta
Hongera Sana Arteta kwa kazi nzuri uliyofanya wewe nimfano wa kuigwa@meridianbettz
Dorophina
Hongera arteta na kia lakheri katika majukumu yako mapya chama limekuamini ndiomaana wamekupandisha cheo
Johnmary joel
Hongera zake kwa kuwa kocha#meridianbett
Sadick
Kwangu ni mapema mno kumupa majukumu yote mapema, bado no kocha kijana na nafasi ya Meneja ni kubwa na majukumu ni mengi#meridianbettz
felister
hongera arteta kwa kupandishwa cheo
Mwanahamisi
Hongera sana arteta kwa kazi zuri
Lydia Emmanuel Magoti
Hongera yake Arteta kwakazi nzuri
Mwajumah
Hongera Arteta kwa kupandishwa cheo#Meridianbettz
Sauda
Kila la kheri Arteta
Fatina
Pongezi kwake
Janeflora malisa
Good
warda
Wesha Mkubali sasa ngoja aje Awayumbishe ndo atatimuliwa Mbali#Meridianbettz
Ernest
Salute kwa Arteta ila msumu huu anakazi ya kulinda heshima yake lakini kwa msaada wa wachezaji wake.
Rose kapinga
Arteta jitaidi upambanie nafasi yako,usiwaangushe wana imani na wewe
Issa
Arteta ni safi kuifanyia arsenal mazuri na imetokea kumuamin sana
mwakalosi
arsenal bhn sasa ndio wamefanya nini 😂😂😂😂😂😂
Mariam mtandama
Safi
Khadija
pongezi kwake#meridianbettz
Theckla
Hongera Sana arteta
Tatu
Hongera Mikel arteta kwa kupanda cheo kutoka mwenye ukocha hadi manager hii inatoka na juhudi zako ktk kujituma
lombo
habar njema
Nasra
Asantee kwa taarifa
Gabriel
Arteta kocha mzur sana
Devotha
Hongera sana arteta unastahili kwa sababu umeibadilisha arsenal ndani ya miez tisa💪👏👏👏
Shani
Arteta ameielewa arsenal kwa muda mfupi sana na kaipa mafanikio
Theonestina
Kila la kheri
Saupha mohamed
Pongezi kwake
Furahav
Hii iko vizuri.
Sabrina
Kazi nzuri Arteta
Tahiya
Ongera kwako arteta umeaminiwa natumai hutotuangusha
Shafii
Pongezi kwake Mikel arteta.
Neema
Hongera zakee.
Amiri Kayera
Goodluck
Magdalena
Pongezi kwake Arteta
aisha
Big up kwako Arteta kwa kupandishwa cheo