De Laurentiis Aambukizwa Corona.

De Laurentiis amepimwa na kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona klabu ya Napoli imetangaza siku ya Alhamisi.

De Laurentiis alihudhuria kikao kikuu cha Serie A jijini Milan siku ya Jumatano hii inamaanisha mabosi wa vilabu vingine itawalazimu kukaa karantini kwanza kuelekea msimu mpya 2020-21.

Ilikuwa ni mkutano wa kwanza kuonana ana kwa ana baada ya miezi mingi kufanya vikao vya mtandaoni wakati huu wa maambukizi ya virusi vya Corona.

Lakini pia De Laurentiis alikutana na wachezaji pamoja wafanyakazi wengine wa klabu ya Napoli wakati wa mazoezi ya pre-season katika viwanja vya Castel di Sangro

De Laurentiis Aambukizwa Corona.
Aurelio De Laurentiis

Taarifa ya Napoli ilisomeka: “SSC Napoli inatangaza kwamba rais Aurelio De Laurentiis amepima na kukutwa na COVID-19 baada ya kikao kilicho fanyika siku ya jana.

Msimu mpya wa Serie A unatarajiwa kuanza kurindima Septemba 19, Napoli ataumana na Parma siku itayofuata baada ligi kuanza.


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

46 Komentara

    Duuuh majanga

    Jibu

    Corona ipo tahadhari muhimu

    Jibu

    Pole sana.

    Jibu

    Duuh pole yake ila hii corona ni atari sana#Meridianbettz

    Jibu

    So sad

    Jibu

    duuh bad news

    Jibu

    Daa sio poa ugonjwa nchi zawenzetu ugonjwa umekuwa tishio Sana

    Jibu

    Pole sana Laurentiis.

    Jibu

    mmmh

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Mungu akuponye

    Jibu

    Duu atali sana corona

    Jibu

    Pole yake Laurentiis

    Jibu

    Duh! Pole yake

    Jibu

    Corona ina shake sana mifumo na taratibu nyingi sana, itakuwa bonge la issue kama wote waliokutana nao watakutwa na corona#meridianbettz

    Jibu

    Covid 19 janga la dunia

    Jibu

    Duh noma

    Jibu

    Duuuuh hatari

    Jibu

    Pole sana corona sio mchezo hata kidogo

    Jibu

    Habari mbaya sana hapa maana watu wengi pia wanahitaji kufanya Self Isolation ili kuchukua tahadhali

    Jibu

    corona badi ipo inabidi tuchukue uangalifu#meridianbettz

    Jibu

    Corona sio poa

    Jibu

    Pole sana de

    Jibu

    Doh Corona inapamba moto

    Jibu

    Getwell soon , Kinga muhimu na tiba.

    Jibu

    Corona sio poa

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Mungu atamponya.

    Jibu

    itakuwa bonge la issue kama wote waliokutana nao watakutwa na corona

    Jibu

    Poleeh

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Corona ina shake sana mifumo na taratibu nyingi sana, itakuwa bonge la issue kama wote waliokutana nao watakutwa na corona

    Jibu

    Corona haipoi!!

    Jibu

    Pole Sana @meridianbettz

    Jibu

    Basi wengi Wana Corona Walio kuwa kwenye huo mkutano

    Jibu

    Korona ni tatizo sana ulimwenguni na limeathir sana soka na sekta ingine

    Jibu

    Corona ni hatar Sana ,binafsi nakuombea apone arudi kwenye majukum yake

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Bad newz

    Jibu

    Korona imeathir sana sekta ya michezo kwa ujumla

    Jibu

    Corona nomaa

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Huu ugonjwA ni balaa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.