Tetesi zinasema Mlinzi wa kushoto wa Real Madrid na Uhispania Sergio Reguilon ,23, yupo katika kiwanja cha mazoezi cha Tottenham kwa vipimo vya afya kabla ya kujiunga na klabu hiyo ya Ligi kuu.
Kocha wa Everton Carlo Ancelotti anataka kumsajili mchezaji wa nafasi ya ulinzi wa Chelsea Fikayo Tomori, 22, lakini pia yuko tayari kuwaachia wachezaji kadhaa akiwemo viungo wa kati Gylfi Sigurdsson, 31, na Fabian Delph , 30 .
Manchester City wanajiandaa kuwa uhamisho wa mchezaji wa nafasi ya ulinzi anayekipiga Atletico Madrid, Jose Gimenez, ikiwa Napoli itakataa kushusha dau kwa ajili ya mlinzi wa kati Kalidou Koulibaly,29.

Kiungo mkabaji wa Atletico Madrid Thomas Partey,27, ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na Arsenal lakini klabu hiyo ya Uhispania watamuuza tu iwapo dau la pauni milioni 45 litafikiwa.
Manchester United inaangalia uwezekano wa kumsajili winga wa kulia wa Ivory Coast Amad Traore,18, kutoka Atalanta.
Tetesi zinasema Leicester City wako karibuni kumsajili winga wa Roma Cengiz Under.
Tetesi zinasema Kocha wa Barcelona Ronald Koeman amesema kuwa timu hiyo haitamrejesha mlinzi wa Manchester City, Mhispania Eric Garcia,19.
Tetesi zinasema Arsenal inamfuatilia mlinda mlango wa Dijon Runar Alex Runarsson, 25, huku washika bunduki hao wakiwa na matumaini makubaliano ya dau la pauni milioni 1.5 litafikiwa.

Rais wa Lyon Jean-Michel Aulas amekana ripoti kuwa mchezaji wa nafasi ya kiungo wa kati,Memphis Depay, aliyekuwa akichezea Manchester United, yuko njiani kujiunga na Barcelona.
Tetesi zinasema Sheffield United imemfuatilia mshambuliji wa Arsenal Folarin Balogun, 19, Kocha Chris Wilder amethibitisha.
RB Leipzig imetishia kuchukua hatua za kisheria dhidi ya Leeds United kutokana na kushindwa kumsajili mshambuliaji , Mfaransa Jean-Kevin Augustin. Leipzig imedai kuwa Leeds kwa mujibu wa mkataba ilikuwa inatakiwa kumsajili Augustin, ambaye alikuwa akicheza kwa mkopo katika klabu ya Elland Road msimu uliopita, kwa kitita cha pauni milioni 17.7 baada ya kwenda Ligi ya EPL.
Meneja wa timu ya Uingereza Gareth Southgate ameruhusiwa kurejea viwanjani kuendelea kuangalia wachezaji wa Ligi kuu baada ya kukaa nyumbani kwa muda mrefu kushughulikia mipango ya timu hiyo.

Klabu ya Birmingham City iko kwenye mazungumzo na Ipswich Town kwa ajili ya kumnasa mshambuliaji Kayden Jackson. ofa ya Bournemouth ilikataliwa ilipomtaka mchezaji huyo, 26.
Newcastle wamemjumuisha kiungo mshambuliaji raia wa Ufaransa Florent Indalecio katika majaribio. Mchezaji huyo mwenye miaka 23 aliyekua akikipiga na Saint-Etienne kwa sasa hana klabu.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.


Ester jackson
Arsenal naona mnakuja kwa kasi sana katika usajili wenu
Nasra
Safii
felister
kwa usajili huu arsenal msimu huu watafanya vizuri
Fatina mfigi
Kwa usajili huu Mambo yatakuwa si mchezo
Tatu
Usajili unazidi kupamba moto huko kwenye vilabu
Dorophina
Usajili naona umenoga kwa arsenal Mambo sio mabaya
Mariam mtandama
Safi
Angelina
Usajili unaenda vizuri
Sauda
Tunasubiri michuano.
Elika
Usajili uko poa
Adelta
Usajili uko vizuri sana tunasubiri mchuano@meridianbettz
Mwanahamisi
Safi
Caroline
Asante kwa taarifa
sylvester
Ni habari nzuri za usajili ila Memphis Depay asiende Barcelona abaki zake ufaransa
Lydia Emmanuel Magoti
Usajili umepamba moto Arsenal nawaona wanavyo peta
Tumaini kasalile
Asante kwa makala
Zeiyana
Man Chester wakazane sana kwenye isajiri bado kabic hawajapata kikosi kilicho kamilika
Mwajumah
Arsenal naona wako moto sana kwenye usajili#Meridianbettz
Shani
Habar njema na asa kwa usajil
Zahara omary
Safii
Theckla
Vilabu vyote naona vinajitahidi kusajili wachezaji kwa kasi sana
Ernest
Arenal wazee wa kuchungulia pesa sijui kama wataweza kufanya usajili tena
Revina
Habari nzuri za usajili na Vilabu vinajitahidi kusajiri sana ngoja tuone
Khadija
Tunasubulu michuano#meridianbettz
Gabriel
Imekaa poa sana 👍
Sabrina
Arsenal hawataki masihara kwenye usajili
Saupha mohamed
Usajili upo vizuri
aisha
Arsenal wamejipanga sana mambo yatakua mazuri
Samiah
Usajili mzr
Johnmary joel
Ukichungulia pesa uwezi kupata vitu vizuri#meridianbett#
lombo
mambo ni moto na meridianbet
Janeflora malisa
Mambo mazur
Neema
Usajilii uko poa sana
Amiri Kayera
Taalifa nzur za usajir
Theonestina
Safi
Aziza mushi
Nice.
David Pere
Arenal wazee wa kuchungulia pesa sijui kama wataweza kufanya usajili tena
Povel
Nice update
Rose kapinga
Safi afya kwanza mengine baadae!!
magdalena
everton wakimchukua uyu kiungo kutoka chelsea watakuwa wamefanya jambo jema sana kijana yupo makini
Njiku
Ipo poa sanaa
Hopemwaikuka
Hot news
Issa
Balaa ulaya