Kocha mkuu wa Real Madrid Zinedine Zidane amesema Eden Hazard “yupo karibu” kurejea akiwa yupo fit baada ya kukaa nje kwa kipindi kirefu.
Mchezaji huyo ambaye pia ni mtaifa wa Ubelgiji amekuwa akipambana kuwa katika kiwango kizuri nchini Hispania baada ya kuhamia Madrid kwa dau la €100m akitokea ligi ya Premier League katika klabu ya Chelsea.
Alifunga goli katika msimu wake wa kwanza katika dimba la Santiago Bernabeu na anatarajia kurudi katika hali yake ya kawaida baada ya kufanyiwa upasuaji katika mguu wake wa kulia.

Zinedine amesema kwamba Hazard yupo njiani kurudi kucheza kwa mara ya kwanza msimu huu, ingawa hajathibitisha kama atakuwepo kwenye mchezo wa Jumaatano dhidi ya Real Valladolid.
“Naadhani yupo jirani sana kurudi,” Zidane alisema. “Anajiandaa na anafanya mazoezi vizuri na timu.
“Anachokitaka ni kucheza tu. Alikuwa na tatizo lililopelekea akae nje kwa muda mrefu lakini sasa anaonekana kuwa sawa.
Aliulizwa kama anatafuta wachezaji wa kuwaongeza katika kikosi ikiwa muda wa dirisha la usajili unaelekea kuisha, Zidane alisema kuna ugumu kwenye hilo maana tayari amepanga kikosi cha watu 11 imara.
Vinicius Junior ni moja ya wachezaji ambao wanapambana kucheza katika dimba la pembeni ingawa Zinedine amesisitiza anafurahishwa na winga huyo.
“Ninafuraha na kikosi nilicho nacho,”alisema kuongeza wachezaji zaidi sidhani siyo mipango yangu.
Timu ya Real Madrid tayari imecheza michezo miwili katika LaLiga msimu huu, mchezo wa ufunguzi ilienda sare ya kutofungana na Real Sociedad ikifuatiwa na ushindi wa 3-2 dhidi ya Real Betis.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!


Sabrina
Daah itakua poa sana akirejea dimbani
Amiri Kayera
Huu msim inabid aonyeshe thaman yake vzr
lombo
habar njema
Hopemwaikuka
Habari ya kufurahisha hii
Shani
Habar njema kwa mardrid
Marry Mushi
yuko vzr
Adelta
Akirejea dimbani itakuwa poa sana
felister
itakua vizuri akirejea tena
Saupha mohamed
Jambo zuri sana
Mwajumah
Hakika ni habari njema iyo
magdalena
hazard bora arudi tu maana tumemisi kuona mbwembwe zake uwanjani
Elika
Na sisi tunamuombea arejee salama
leticia
Makala nzuri
Sauda
Bora arejee kwa mara nyingine.
Nasra
Gud news
Fatina mfigi
Itakuwa Jambo zuri kma akisalia hapo!
Zeiyana
Hazard alikua vizuri alipo kua Chelsea tu toka haende Real Madrid akuna mahajabu yoyote aliyo yafanya
Mwanahamisi
Jambo zuri
Dorophina
Haabri njema kwa klabu yake hazard ni mchezaji mzuri sana akiwa uwanjani
Caroline
Tulikusubiri kwa hamu kubwa.. karibu mchezoni
Latifa juma mohamed
Hata mashabiki tunafuraha kusikia hazard anarudi dimbani tulimiic kuona position yake.
Asia Abdy
Itakua poa sana
aisha
Ni kipindi chake sasa aonyesh makeke
Khadija
Karibu hazard tulikums sana
Hidaya
Tunamsubiri kwa hamu
Angelina
Habari njema
Gabriel
Imekaa poa sana 👍
Issa
Hazard kama amepoteza uwezo wake toka atue madrid na majeruh yanamrudisha nyuma
Sadick
Hazard wa Chelsea sio huyu wa Real Madrid,inashangaza kuona mchezaji mahiri kupotea kwenye rada za wachezaji mahiri#meridianbettz
Rehema
Habari njema
farida ahmadi
Habari nzuri Sana
Lydia Emmanuel Magoti
Itakuwa poa Sana Hazard kulejea dimbani tulipoza jembe kutokuona kamanda
Tatu
Mashabiki tunafurah kuludi kwa hazard dimbani
Ernest
Tunasubiri kwa hamu kumuona Hazard mpya baada ya kutoka kwenye majeruhi
David Pere
Hazard alikua vizuri alipo kua Chelsea tu toka haende Real Madrid akuna mahajabu yoyote aliyo yafanya
Povel
Hazard natumai hata tuonyesh thaman ya pesa yake
Samiah
Habari njemaa