Kocha wa Tottenham – Jose Mourinho, anategemea mchezaji wake Son Heung-min atarajea tena uwanjani baada ya michezo ya kimataifa mwezi ujao.
Son alipata majeruhi katika mchezo wa EPL dhidi ya Newcastle United na atakuwa nje kwa muda akiwa tayari ameukosa mchezo dhidi ya Chelsea na mingine kadhaa ijayo.
Kutokana na ratiba ngumu ya michezo ya Tottenham, watacheza michezo 5 katika siku 11 kabla ya mechi za kimataifa. Suala hili limemfanya Mourinho awasihi makocha wa timu za taifa kuhusu kuwatumia wachezaji wake.
“Ninatarajia kuwa na Son baada ya mechi za kimataifa. Hii inanipa nafasi ya kuongelea michezo hiyo.
“Nina imani makocha wa timu za taifa wanatakwimu zao na wanajua ni muda gani wachezaji wa Tottenham wameshautumia uwanjani kwa wiki hii tu.
“Ninadhani wanawajali na kuwalinda wachezaji kwasababu wachezaji wa Tottenham wamefanya kazi kubwa sana viwanjani mpaka sasa, ni hatari sana.
“Nilichokifanya leo kwa Eric Dier (kumchezesha mechi hii baada ya siku 2 toka mchezo wa mwisho) ni hatari sana.” amesema Jose Mourinho.
Tottenham watakuwa uwanjani Alhamisi hii katika mchezo wa Europa wakiwaribisha Maccabi Haifa na kisha watawafuata Manchester United – Old Trafford siku ya Jumapili.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!


Sadick
Son ameanza vzr msimu kwa kupachika bao 4 mpaka sasa akizidiwa na Calvert-Lewin na Jamie Vardy wenye mabao 5 mpaka sasa#meridianbettz
Frank P
Korean Ronaldo
Dorophina
Son Ni mchezaji mzuri sana timu imepata pengo kubwa kupungukiwa na mchezaji huyo
Antony Luseno
Ni miongoni mwa wachezaji wakiwemo katika timu matokeo mazuri yanapatikana
Adelta
Son Ni mchezaji muhimu sana totenham na amekuwa nguzo muhimu Hilo limeonekana
Kweny mechi yake ya kwanza kwa kupiga goli 4
Shani
Son mchezaji ambae kiwango chake hakishuki na ushirikiano wake na kane utafanya wapate mabao mengi msimu huu
Johnmary joel
Hii no habari njema sasa msimu huu utakuwa poa sana son akirejea#meridianbett
Hopemwaikuka
Afadhar Son urud mzigon
Asia Abdy
Good news
magdalena
habari njema sana kwa sisi mashabiki tunaomkubali son kijana mahiri
Sauda
Karibu sana.
Fatina mfigi
Safii
aisha
Son ni tegemeo sana kwa Totenham ata asipokuep team aifany vzr
Hidaya
Habari njema kwa mashabiki wa Tottenham
Nasra
Safii
Saupha mohamed
Good news
Angelina
Bora arudi tu aongeze nguvu
Caroline
Son pole Sana kwa majeraha
Venerose
Habari njema
Zeiyana
Son yupo vizuri sana
Mwajumah
Habari njema
Khadija
Good
Issa
Ushirikiano wake ye na kane umemfanya apachike mabaomengi sana
Fatuma kasomo
Nimchezaji mzuri sana kiwango chake hakishuki
Amiri Kayera
Son ni msaada mkubw Kwa Totenham
Neema
Son anajua ninii anachofanya anaipenda kazi yake yuko vzr sana kijana
Sabrina
Wooh son anarejea dimbani itakua poa sana
Rehema
Safi
felister
son ni msaada mkubwa kwa spurs
Gabriel
Son yupo vizuri ni msaada mkubwa kwa spurs
farida ahmadi
Iko poa Sana
Tahiya
Son ni mchezaji anayejituma sana big up
Ernest
Pengo kubwa kwa Spurs
Salma ngende
Jambo zuri
David Pere
Son mchezaji ambae kiwango chake hakishuki na ushirikiano wake na kane utafanya wapate mabao mengi msimu huu
Povel
Get well soon