Mukoko, Kaze Watwaa Tuzo Mwezi Oktoba

Kiungo wa Klabu ya Yanga, Mukoko Tonombe, amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Oktoba msimu wa 2020/21.

Mwezi huo wa Oktoba, Yanga ilicheza michezo minne, ikiwa ndiyo timu iliyoshinda michezo yake yote na kupanda kutoka nafasi ya tatu hadi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom inayoshirikisha timu 18.

 Yanga ilizifunga Coastal Union 3-0, Polisi Tanzania 1-0, KMC 1-2 na Biashara United, 0-1 ambapo Mukoko alitoa mchango mkubwa katika ushindi huo ikiwa ni pamoja na kufunga bao moja dhidi ya Polisi Tanzania.

Mukoko amemshinda nyota wa Azam FC, Prince Dube na mshambuliaji wa Gwambina FC, Meshack Abraham aliongia nao fainali, ambapo Dube aliiongoza Azam kubaki kileleni baada ya kuvuna pointi 10 katika mwezi huo, ikishinda tatu, sare moja na kupoteza mmoja, huku mshambuliaji huyo akifunga mabao matatu na kutoa pasi tatu za usaidizi wa mabao.

Kwa upande wa Meshack aliiongoza Gwambina kupata pointi nane ikishinda michezo miwili, sare mbili na kupoteza mmoja, ikipanda kutoka nafasi ya 17 hadi ya 14 akiifungia timu yake mabao manne.

Katika hatua nyingine Kocha Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze, amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Oktoba msimu wa 2020/21.

Kaze amewashinda Aristica Cioaba wa Azam FC na Francis Baraza wa Biashara United ambapo Kaze aliiongoza Yanga katika michezo mitatu na kushinda yote.

Yanga chini ya Kaze ilizifunga Polisi Tanzania 1-0, KMC 1-2 na Biashara United 0-1 na kupanda kutoka nafasi ya tatu hadi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom.

Cioaba aliiongoza Azam kushinda michezo mitatu, sare moja na kupoteza mmoja, huku Baraza akiiongoza Biashara kushinda michezo mitatu na kupoteza miwili ikipanda kutoka nafasi ya saba hadi ya nne.


UMEJARIBU HII POKER YA VIDEO?

Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!

Meridianbet Casino

INGIA MCHEZONI!

23 Komentara

    Gud news

    Jibu

    Hongera yao

    Jibu

    Tumeona kazi ya kanze clabuni hapo pongezi nyingi ziende kwa uwongezi wa yanga akuna mtu hasiye penda kupata tunzo kwa kweli kazi zao na juudi zao ndio zimefanya hadi kuonekana kwako naimani mengi tutayaona kutoka kwao na siku zote nyota njema huwonekana hasubui

    Jibu

    Hongera zao

    Jibu

    Pongezi kwao club ya yanga

    Jibu

    Anastahili tuzo mukoko

    Jibu

    mukoko kaonesha juhudi kubwa sana tangu mwanzo mwa msimu

    Jibu

    Vizuri hongera yake

    Jibu

    Pongezi kwa mukoko

    Jibu

    Pongezi kwa mukoko

    Jibu

    Mukoko hivi karibuni ameonyesha kiwango kizuri sana kwa kweli anastahili

    Jibu

    Gud job

    Jibu

    Hii ndio yanga bana rekod zaid zinakuja

    Jibu

    Congrats MUKOKO ,na KAZE🤝🤝🤝

    Jibu

    Hongera kwao ni safi kwaklabu

    Jibu

    Hongera sana mukoko

    Jibu

    Hngr

    Jibu

    Tumeona kazi ya kanze clabuni hapo pongezi nyingi ziende kwa uwongezi wa yanga akuna mtu hasiye penda kupata tunzo kwa kweli kazi zao na juudi zao ndio zimefanya hadi kuonekana kwako naimani mengi tutayaona kutoka kwao na siku zote nyota njema huwonekana hasubui

    Jibu

    Pongezi sana

    Jibu

    Hongera zao

    Jibu

    Pongezi kwao

    Jibu

    Hongera yao

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.