Amakweli “Mvumilivu hula mbivu”. Son Heung-Min, ni uthibitisho wa msemo huu. Baada ya miaka 3 na nusu kwenye EPL, amebeba tuzo ya mchezaji bora wa mwezi.
Son ameibuka kidedea miongoni mwa wachezaji 7 waliokuwa wanawania tuzo ya mchezaji wa mwezi Oktoba kwenye Ligi Kuu Uingereza – EPL.
Mchezaji huyu raia wa Korea Kusini, amekuwa kwenye kiwango thabiti msimu huu. Umahiri wake wa kutawala mpira na uwezo wake wa kukimbia kwa kasi, ni kati ya silaha zake kubwa.

Kwa mwezi Oktoba pekee, Heung-Min amepachika magoli 4. Katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Man United, alipachika magoli 2 na kutoa pasi ya goli 1.
Hii ni mara ya 3 kwa mshambuliaji huyu kubeba tuzo ya mchezaji bora wa mwezi katika maisha yake ya soka. Alifanya hivyo mwaka 2016 (Septemba) na 2017 (Aprili).
Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!



Issa
Son amekua kwenye kiwango bora toka msimu ulivyoanza na ligi ya msimu atweka rekod. Zaidd
Hopemwaikuka
Congratulation son
Sabrina
Hongera son haki yako upate tuzo
Fatuma kasomo
Hongera sana
zeiyana
hongera son
Sauda
Safiiiii
Fatina mfingi
Hongera naongeza juhud ili ufike mbali zaid
Carolyn
Hongera son..
Adelta
Safi Sana
magdalena
safi sana son tangu unaanza soka nakukubali kinoma endelea kukaza unyakue mataji mengi
Angelina
Goodnews
Rahma
Hongera sana
Lydia Emmanuel Magoti
Pongez zake
Dorophina
Hongera yake son
Antony Luseno
Kuna baadhi ya wachezaji ni nguzo spurs,son ni moja wao hongera sana kwake
Tatu
Hongera yake
Povel
Congrats Son Ronaldo🤝🤝🤝🤝
aisha
Son mk hatari sana huyu mtu na atazid kuweka rekod sana
Ester jackson
Hongera sana
Janeflora malisa
Safi
David Pere
Mchezaji huyu raia wa Korea Kusini, amekuwa kwenye kiwango thabiti msimu huu. Umahiri wake wa kutawala mpira na uwezo wake wa kukimbia kwa kasi, ni kati ya silaha zake kubwa.
Saupha mohamed
Hongera sana
Mwajumah
Hongera son