Tetesi zinasema mshambuliaji wa zamani wa Manchester City na Liverpool Mario Balotelli amefanya mazungumzo na timu ya Championi ya Barnsley. Muitalia huyo mwenye umri wa miaka 30 , yuko huru baada ya mkataba wake na Bresica kusitishwa kwa kutohudhuria mazoezi.
Chelsea wanataka kusaini mkataba na kiungo wa Borussia Dortmund na England Jude Bellingham, mwenye umri wa miaka 17 badala ya kiungo wa kati wa West Ham Declan Rice, 21.
Tetesi zinasema Meneja Pep Guardiola bado hajaamua kuhusu hali yake ya baadaye katika Manchester City. Mkataba wake unaisha msimu huu.

Leicester wanamfuatilia kwa karibu kiungo wa safu ya nyuma -kushoto Mreno Nuno Mendes, 18, ambaye anakipengele cha kumnunua cha pauni milioni 40 katika mkataba wake na Sporting Lisbon.
Kiungo wa kati wa zamani wa Juventus midfielder Claudio Marchiso amemtaka mchezaji wa Manchester United na Ufaransa Paul Pogba, 27, arejee katika klabu hiyo ya Italia.
United watapatia kipaumbele mauzo ya wachezaji mwezi wa Januari huku mlinzi wa England Phil Jones, 28, na Waagerntina mlinda lango Sergio Romero, 33, na beki Marcos Rojo,30, wakiwa na uwezekano mkubwa wa kuondoka katika klabu hiyo.
Tetesi zinasema mazungumzo ya mkataba wa Wolves na winga Adama Traore yamekwama kwasababu Muhispania huyo hafurahii muda anaopewa kucheza gemu.
Tetesi zinasema West Ham wamepewa ofa ya kusaini mkataba na mshambuliaji wa Real Madrid Muhispania Mariano Diaz, 27.

Arsenal wanaangalia uwezekano wa kufanya mkataba wa kubadilishana wachezaji na Inter Milan ambao utamuwezesha Mdenmark na mlinzi wa zamani wa Tottenham Christian Eriksen, 28, kujiunga na the Gunners na kiungo wa kati Mswiss Granit Xhaka, 28, kuhamia katika klabu hiyo ya Italia.
Tetesi zinasema Arsenal wako katika mazungumzo ya kumuuza beki Mfaransa William Saliba kwa mkopo msimu ujao.
Meneja wa zamani wa Chelsea Antonio Conte anasema alitaka kusaini mkataba na mlinzi wa Liverpool Virgil van Dijk na Romelu Lukaku wa Inter Milan wakati alipokuwa katika klabu hiyo.

Mshambuliaji wa Chelsea na Ufaransa Olivier Giroud, 34, atakwenda mapumzikoni mwezi Januari kama muda wake wa kucheza hautaongezwa katika kipindi cha miezi ijayo .
Arsenal hawatamsaini Mitchel Bergkamp – mtoto wa kiume wa mchezaji wa zamani wa Gunners Dennis Bergkamp – licha ya kwamba Muholanzi huyo mwenye umri wa miaka 22 amekuwa akifanyiwa majaribio ya kimchezo kwa wiki moja katika klabu hiyo.
Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.



Elika
West hurm wasilaze damu kwenye hiyo ofaa
magdalena
balotelli sasa atafute timu atakayoweza kucheza mpaka kustaafu maana umri unaanza kumtupa mkono
Khadija
Kazi na umri
Fatina mfingi
Makal safii
Adelta
Tetesi ziko poa na mambo yanazidi kunoga ila wachangamkiye hiyo ofa
Ester jackson
Ballotel ni bora ajirekebishe kinidhani hata kama haipendi timu hiyo inabidi aendane na sheria za michezo kupata haki yake lakini sio kimibavu la sivyo inawezekana akakosa sehemu ya kwenda kutokana na tabia yake
Sauda
Mpo vizuri kwa taarifa
Mwajumah
Asante kwa makala
Angelina
Nice update
Samira
Meridianbet mpo vizuri update ya kibabe
Carolyn
Ballotel mkorofi sana
Rahma
Makara mazuli
Hopemwaikuka
Kumbe Balotel yupo
Nasra
Asantee kwa makala
Devotha
Asante kwa taarifa
Fatuma kasomo
Gud news
zeiyana
Barotel ni chezaji mzuri tu hila ndio hivyo tena hutukutu umezidi sizani kama kuana klabu yoyote ambayo hitataka sain yake
Antony Luseno
Timu nyingi zinahusishwa kwa usajili lakini matokeo yake kimya
Povel
Nice update
aisha
Balotel kumbe duuh noma sana aache ukorofi
Sabrina
Habari 🔥🔥
felister
kazi na umri
Lydia Emmanuel Magoti
Balotel bado anadai atakama wasema umeenda ila kipaji akipotei yupo vizuri Balotel nabado nguvu anazo wamsajili tuu apige kaz
Saupha mohamed
Good news
Janeflora malisa
Safi