Torres Awapaisha Hispania Kwenye 6-0

Hispania wamewapa kichapo cha historia Ujerumani kujihakikishia nafasi katika fainali za Ligi ya Mataifa ya UEFA. Ferran Torres ametoa mchango mkubwa kwa kucheka na nyavu mara 3, huku Rodri na Mikel Oyarzabal  nao wakikamilisha hesabu ya ushindi.

Ufaransa wamepata pigo kubwa zaidi kuwahi kutokea kwa kipindi cha miaka 14 ya hivi karibuni baada ya kukubali kichapo cha bao 6-0.

Ujerumani walihitaji alama moja tu ili kujihakikishia nafasi ya juu kwenye Kundi A4 lakini walijikuta wakipigwa 3-0 kwa nusu saa tuu.

Hispania walionesha ubora wa chini ya Luis Enrique licha ya kutokuwa na Sergio Ramos na Sergio Canales kwa shida za misuli.

Torres, ambaye ni nyota wa Manchester City aliongeza bao mbili zaidi baada ya mapumziko kabla ya mbadala wake Oyarzabal kuongeza shinikizo kubwa pia.

Manuel Neuer, ambaye amekuwa golikipa aliyecheza mechi nyingi zaidi za kimataifa za Ujerumani wakati alipocheza mara yake ya 96, alijitahidi kwa nafasi yake kupambana na kasi ya Torres na timu ya Uhispania kwa ujumla.

Walakini, hakuweza kufanya chochote kumzuia Torres akiandika Hat-trick kuwabariki ushindi wao wa kihistoria


 

BASHIRI UKIWA MAHALI POPOTE!

Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.

Meridianbet Beti Popote

INGIA MCHEZONI!

28 Komentara

    Torres Yuko vizur sana

    Jibu

    mchezo mzuri wameucheza ujerumani pongezi kwao na waendelee kukaza buti safari bado ipo

    Jibu

    Waendelee tu kujitaidi wasikate tamaa

    Jibu

    Congrats

    Jibu

    Mashabiki wanamkubali Torres Yuko vizuri

    Jibu

    Hongera yao

    Jibu

    Torres noma

    Jibu

    Wasikate tamaa waendelee tu kupambana

    Jibu

    Torres ametisha sana

    Jibu

    Ametisha sana

    Jibu

    Safi Sana Torres

    Jibu

    Duh! Sio poa

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Ni muda sasa kwa kocha wa Ujerumani Joachim Low kuachia ngazi ingawa naona bado shirikisho la mpira la Ujerumani bado lina imani naye

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Congrats

    Jibu

    Hii gemu ilikua si ya haina yake

    Jibu

    Kwa kichapo hiki Spain wamedhiririsha wapo vizur kuliko Germany

    Jibu

    Torres alikuwah kwny ubora wa Hali ya juu sana

    Jibu

    Big up kwao

    Jibu

    Duuh Torres kifaa

    Jibu

    wasikate tamaa

    Jibu

    Torres sio mtu wamuchezo muchezo anajua jembe

    Jibu

    Torres nomaaa

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Spain on fire hatari

    Jibu

    Noma sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.