Coastal Yajitetea Kipigo cha 7-0 kutoka Simba

Juma Mgunda, Kocha Mkuu wa Coastal Union amesema kuwa hawezi kubadilisha matokeo aliyoyapata kwa timu yake kufungwa mabao 7-0 dhidi ya Simba kwa kuwa yameshatokea kutokana na makosa ya kujirudia kwa wachezaji wake ndani ya Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha.

Coastal Union inaweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza kwa msimu wa 2020/21 kufungwa mabao mengi bila safu yake ya ushambuliaji kuambulia bao kwa kuwa timu ya kwanza iliyofungwa mabao mengi ilikuwa ni Mwadui FC iliyofungwa mabao 6-1 na JKT Tanzania.

Mabao kwa upande wa Simba yalifungwa na Hassan Dilunga ambaye bao lake lilileta utata kutoka kwa wachezaji wa Coastal Union ambao walionekana kumfuata mwamuzi wa kati wakidai kwamba mfungaji na mtoa pasi John Bocco walikuwa wameotea.

Mabao mengine yalifungwa na John Bocco ambaye alifunga hat trick yake ya kwanza ndani ya Simba ikiwa ni ya pili kwenye ligi kwa kuwa wa kwanza kufunga alikuwa ni Adam Adam wa JKT Tanzania na mengine yalifungwa na Clatous Chama aliyefunga mawili na Bernard Morrison alifunga bao moja.

Kocha wa Coastal Union, Juma Mgunda

Mgunda amesema:”Hakuna namna ya kufanya kwa kuwa matokeo yameshatokea siwezi kuyabadili na nimekubali nimepoteza hivyo makosa yaliyotokea tutayafanyia kazi.

“Tumefungwa kwa sababu ya makosa ya kujirudiarudia kwa wachezaji hasa kipindi cha kwanza tukafungwa mabao mengi ila angalau kipindi cha pili makosa yalipungua, tumefungwa kwa sababu ya makosa yetu hakuna namna tutafanyia kazi makosa, matokeo hatuwezi kuyabadili,” amesema.

BASHIRI UKIWA MAHALI POPOTE!

Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.

Meridianbet Beti Popote

INGIA MCHEZONI!

 

29 Komentara

    Simba kwa sasa wako vizuri

    Jibu

    Hawana jipya wakubali walipigwa kifurushi inatosha

    Jibu

    Kwasimba nawakubali safu yao yaurinzi ipo vizuri Awana mpinzani wao yoyote yule kanyaga twende

    Jibu

    Waendelee kufanya mazoezi huu sio mwisho Bali ni fundisho

    Jibu

    Simba wako vizuri nawanajitahidi sana

    Jibu

    Poleni costal

    Jibu

    Safi cimba

    Jibu

    Hamna timu hapo 7 majanga hayo

    Jibu

    Ushindi mno unasahaulisha uwekezezaji wa Mo wenye utata na hiki ndicho mashabiki wanataka kuona

    Jibu

    Sio kwa 7 hizo aisee

    Jibu

    Pongezi ziende kwa cmba

    Jibu

    Sawa

    Jibu

    Wamestail kipigo kile kitaka tifu Kwan Simba walikuwah kwny ubora wa Hali ya juu

    Jibu

    Safi sana mnyama

    Jibu

    Dah! Mnyama katishaa sana

    Jibu

    Uyo ndo mnyamaa

    Jibu

    Simba oyeeee,kiukweli wamejuwa kunifurahisha sana.

    Jibu

    Waache kijitetea hawana jipya simba imejua kuifanya kazi

    Jibu

    Simba hana kazi mbovu

    Jibu

    Asante kwa jarida

    Jibu

    Simba mtu mbaya

    Jibu

    hawana la kujitetea kocha hakukinoa ipasavyo kikosi chake

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Simba imewakera majirani

    Jibu

    Simba ana mpenzan

    Jibu

    Wagosi mlikosea wapi kuwaachia mikia

    Jibu

    Kichapo cha kibabe

    Jibu

    Kilikuwa kipigo mubashara

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.