Basten -Messi na Griezmann Wanazingua.


Mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Uholanzi na vilabu vya Ajax na AC Milan, Marco van Basten wamewashutumu wachezaji wa Barcelona, Lionel Messi na Antonie Griezmann kwa aina wanavyocheza.

 

Basten -Messi na Griezmann Wanazingua.

Akiongea na Ziggo Sport, Van Basten alisema “Kwa kifupi tu ni kuwa wanacheza vibaya sasa hivi, Messi na Griezmann wanacheza kama watu wawili wasio na malengo, ni kama watengeneza keki wasiojua wanachokifanya.

Inawezekana kabisa hawana motisha kutokana na kukosekana na mashabiki. Ukiachana na hivyo hajafanya mazoezi sana katika miezi michache iliyopita, hana furaha na mazingira yalivyo Barcelona.” aliongeza Basten kuhusu Messi.


USICHELEWE KUKAMATA MKWANJA HUU!

Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.

Meridianbet Tanzania Casino

SOMA ZAIDI

20 Komentara

    Ni kweli wanazingua Kama vipi wapange kikosi kipya ili waweze kujuwa wanafanya nini?

    Jibu

    Mhh iyo kali

    Jibu

    Kweli ila tunasubiri tu mikataba yao iishe tuone wataendelea au wanasubiri kupata motisha kwa mashabiki au wanafanya hivyo ili wasiongezewe mikataba

    Jibu

    Messi hameshakata tamaa na maisha ya nou camp hanatak kubadili mazingira na griezman bado hajatuonyesha ubora ule tuliomzoeah kipind yupo atletico Madrid na national team ya france hapo bodi na benchi la watafakari

    Jibu

    hawa wote wamekutana wababe wa mpira

    Jibu

    hawa wote wamekutana wababe wa mpira

    Jibu

    Du! Kazi ipo

    Jibu

    Messi ni kama mfalme na Barcelona inamuhitaji zaidi kuliko yeye anavyoihitaji Barcelona. Griezmann anasema nafasi anayochezeshwa sio aliyozoea pengine ndio maana hafurahii tena soka

    Jibu

    Hao wote wawili kwa sasa wanazingua sana kwenye soka wanacheza vile wao wanavyotaka na sio mwalimu alivyowafundisha

    Jibu

    Mm naona majina yao yanawabeba sana awana mpira wowote wanaocheza

    Jibu

    Mmmm sio poa ngoma ngumu apo

    Jibu

    Griezman bado sana kufikia revo za messi ni bora atulie tu asubiri messi ajiondoe hapo huenda atang’aa

    Jibu

    Ngoma ngumu

    Jibu

    Dhuuu atalii

    Jibu

    Noma wababe wa mpira

    Jibu

    hawa wote wamekutana wababe wa mpira

    Jibu

    Kama wamechoka wapumzke

    Jibu

    Wababe wa mpira

    Jibu

    Hata mie nimeliona hilo

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.