Rooney -"Nilitaka Kujiunga na Barcelona 2010".


Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney amefunguka na kudai kuwa alikaribia kujiunga na klabu ya Barcelona pale muda wake wa kuitumikia united uliokaribia kufikia ukomo mwaka 2010.

Rooney amekiri kuwa kwa siku kadhaa alikuwa akikitizama kikosi cha Pep Guardiola pale Barcelona na kuona namna ambavyo angeingia katika mfumo (ndani kikosi).

 

Nakumbuka nilikaa siku nzima nikiwaza namna ambavyo ningecheza pale Barcelona na Messi, Xavi, Iniesta na Busquets. Na kwa wakati ule Messi hakuwa akicheza kama ambavyo anacheza sasa, kama namba 9 kwa mfano. Alikuwa akicheza nje zaidi upande wa pembeni.

Aidha Rooney amekiri kuwa Chelsea na Manchester city ndio walikuwa vinara walioongoza katika mbio za kuwinda saini yake licha ya tetesi kadha wa kadha za ofa kutoka kwa Real Madrid na Barcelona ila aliamua kusalia Old Trafford.


USICHELEWE KUKAMATA MKWANJA HUU!

Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.

Meridianbet Tanzania Casino

SOMA ZAIDI

19 Komentara

    Rooney na mesi wote ni wachezaji wazuri san natumai wengekutana ktk klab moja iyo clabu ingefika mbali san

    Jibu

    Hakika wayne rooney magoli alikuwah kwny ubora wa Hali ya juu kipind hicho na kufany vilabu vikubwa vya ulaya kumtoleah udenda kupata saini yake ni zail rooney magoli kusalia united kutokana na kuangaliah mfumo wa vilabu vilivyokuwah viangahika kupata saini yake na mwenyew kutafakari na kuona hawez kugain mfumo wa vilabu hvy na kuamuah kusalia ndani ya united red devil kipind hicho wayne rooney magoli kwny ubora wake

    Jibu

    Hii ni makala yenye maelezo mazuri

    Jibu

    Rooly alikuwa tishio kiasi kwamba alikuwa anapata nafasi nyingi ya kupata saini katika timu yoyote ile

    Jibu

    rooney alikuwa kinara mpaka sasa

    Jibu

    Rooney back yupo kwenye ubora wake.

    Jibu

    Rooney angeenda barca ingekuwa poa sana

    Jibu

    Barcelona wangempata saini Rooney kwa mwaka huo kungenoga Sana uwanjani huku mess kule Rooney

    Jibu

    Nikweli anacho kisema Rooney Angekuwa Barcelona kungekuwa namajabu zaidi ukuakicheza Messi uku Rooney pangekuwa apatoshi

    Jibu

    Wayne rooney alikua ni mchezaji mzuri mno na kama angeweza kufanikiwa kuchezea barcelona ingekua balaaa kubwa

    Jibu

    Mchezaji mzuri sana

    Jibu

    Rooney alikua nomaa sanaw

    Jibu

    Duuuh noma sana

    Jibu

    Rooney back yupo kwenye ubora wake.

    Jibu

    Duuh

    Jibu

    Balaa

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Angeingia tu uwoga wake

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.