Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney amefunguka na kudai kuwa alikaribia kujiunga na klabu ya Barcelona pale muda wake wa kuitumikia united uliokaribia kufikia ukomo mwaka 2010.
Rooney amekiri kuwa kwa siku kadhaa alikuwa akikitizama kikosi cha Pep Guardiola pale Barcelona na kuona namna ambavyo angeingia katika mfumo (ndani kikosi).

Nakumbuka nilikaa siku nzima nikiwaza namna ambavyo ningecheza pale Barcelona na Messi, Xavi, Iniesta na Busquets. Na kwa wakati ule Messi hakuwa akicheza kama ambavyo anacheza sasa, kama namba 9 kwa mfano. Alikuwa akicheza nje zaidi upande wa pembeni.
Aidha Rooney amekiri kuwa Chelsea na Manchester city ndio walikuwa vinara walioongoza katika mbio za kuwinda saini yake licha ya tetesi kadha wa kadha za ofa kutoka kwa Real Madrid na Barcelona ila aliamua kusalia Old Trafford.
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.



Shakila mrope
Rooney na mesi wote ni wachezaji wazuri san natumai wengekutana ktk klab moja iyo clabu ingefika mbali san
Povel
Hakika wayne rooney magoli alikuwah kwny ubora wa Hali ya juu kipind hicho na kufany vilabu vikubwa vya ulaya kumtoleah udenda kupata saini yake ni zail rooney magoli kusalia united kutokana na kuangaliah mfumo wa vilabu vilivyokuwah viangahika kupata saini yake na mwenyew kutafakari na kuona hawez kugain mfumo wa vilabu hvy na kuamuah kusalia ndani ya united red devil kipind hicho wayne rooney magoli kwny ubora wake
Adelta
Hii ni makala yenye maelezo mazuri
Ester jackson
Rooly alikuwa tishio kiasi kwamba alikuwa anapata nafasi nyingi ya kupata saini katika timu yoyote ile
magdalena
rooney alikuwa kinara mpaka sasa
Sauda
Rooney back yupo kwenye ubora wake.
Fatina mfingi
Rooney alikuwa mchezaj mzur san
Dorophina
Rooney angeenda barca ingekuwa poa sana
Tatu
Barcelona wangempata saini Rooney kwa mwaka huo kungenoga Sana uwanjani huku mess kule Rooney
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli anacho kisema Rooney Angekuwa Barcelona kungekuwa namajabu zaidi ukuakicheza Messi uku Rooney pangekuwa apatoshi
Samira
Wayne rooney alikua ni mchezaji mzuri mno na kama angeweza kufanikiwa kuchezea barcelona ingekua balaaa kubwa
Nasra
Mchezaji mzuri sana
Saupha mohamed
Rooney alikua nomaa sanaw
aisha
Duuuh noma sana
Genia Sikaluzwe
Rooney back yupo kwenye ubora wake.
samiah
Duuh
Hopemwaikuka
Balaa
Tahiya
Good news
warda
Angeingia tu uwoga wake