Baada ya Napoli kupata ushindi dhidi ya rufaa yao, kuna athari nyingine ya ushidi huu kwa upande wa pili. Adrien Rabiot sasa atasimamishwa kwenye mechi dhidi ya Fiorentina.
Napoli walishinda rufaa yao waliyoiwasilisha CONI, kwa hivyo mechi ya Wiki ya 4 na Juventus itachezwa tena na adhabu ya kupunguzwa alama moja kwa Napoli ikifutwa.
Rabiot alikuwa amesimamishwa kwa mechi hiyo ya Wiki ya 4 ambayo haikufanyika, lakini kwa sababu ilikuwa tayari Juventus walipewa ushindi wa 3-0 katika maamuzi ya siku hiyo, adhabu yake ya kusimamishwa ilihesabika kama tayari ilikuwa imetumika kwenye Mechi husika.

Hata hivyo, kwa kuwa mchezo huo unaonekana kama haujachezwa (baada ya hukumu ya CONI) basi Rabiot anatarajiwa kuitumikia adhabu yake tena kwa kwa mechi ijayo ya Juventus.
Juve wanacheza Fiorentina ya leo, lakini muda ulikuwa umeenda sana kwa uamuzi huo kuathiri mpangilio wa mechi ya leo. Kwa hivyo, Rabiot alitakiwa kusimamishwa kwa mchezo ujao wa Juventus, ambao ungekuwa ni dhidi ya Udinese mnamo Januari.
Hata hivyo, Juve wametoa taarifa ikithibitisha kwamba wanaamua nyota wao atumikie adhabu hiyo leo, kwa hivyo Rabiot hayuko kwenye benchi dhidi ya Fiorentina na atapatikana kwenye mechi ijayo dhidi ya Udinese.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???



Mariam mtandama
Habari njema
Issa
Rabiot anatisha
Adelta
Rabiot ni hatarii
Caroline
Duhh atari
Sarah
Rabiot ninoma
Angelina
Goodnews
Rahmal
Rabiot mtu makin sana
Hopemwaikuka
Sio mbaya
Saupha mohamed
Good news
Tatu
Habari nzuri
Mwanahamisi
Sio mbaya
Lydia Emmanuel Magoti
Rabiot yupo makini Sana huyo jembe
warda
pole yao