Lautaro Martinez alipiga hat-trick kamili na Romelu Lukaku aling’aa wakati Inter iliposhinda 6-2 dhidi ya Crotone katika dimba San Siro ikiwa ni moto walianza nao 2021.
Lautaro alifunga goli la kwanza kupitia mguu wa kushoto dakika ya 20 kabla hajaweka goli la pili kwa mguu wa kulia dakika ya 57 na goli lililokamilisha hat-trick alifunga kwa kichwa dakika ya 78.

Inter imekaa juu kwenye jedwali la Serie A angalau hadi pale Milan watakapo cheza dhidi ya Benevento baadaye siku ya Jumapili.
Matokeo yalikuwa 2-2 mpaka wanakwenda mapumziko baada ya Martinez kuisawazishia Inter goli lililofungwa na Niccolo Zanellato na alikuwa kwa karibu katika bao la kujifunga la Luca Marrone kabla ya penati ya kusawazisha ya Vladimir Golemic.
Lakini Martinez alimaliza kufunga goli lake la tatu dakika ya 78 kipindi cha pili, wakati Lukaku, aliyehusika katika magoli manne ya kwanza ya Nerazzurri, pia alihusika kwenye bao na Achraf Hakimi alifunga katika ushindi wa magoli sita na ulikuwa ushindi wa tano mfululizo.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?



Devotha
Hongera kwake
Hopemwaikuka
Jamaa katishaa sana
Lydia Emmanuel Magoti
Safiii sana
Angelina
Yuko vizuri
Dorophina
Hongera kwao
Magdalena
Safi sana
Shakila mrope
Good
warda
Inter wanajitahidi sana
Adelta
Inapendeza 👏👏
Rahmal
Saf
Ernest Kimeru
Hii ni salaam kwa Barca
Sania
Hongera sana
Issa
Lukaku mwamba