Diogo Jota Nje kwa Wiki Kadhaa Zaidi.

Kocha Liverpool mkuu wa Jurgen Klopp amesema kwamba Diogo Jota bado atakuwa nje kwa wiki kadhaa lakini Sadio Mane anaweza kuwakabili Manchester City.

Nafasi ya The Reds kutetea ubingwa wa Premier League ilipotelea mikononi mwa timu ya Brighton baada ya kupokea kipigo cha 1-0 katika dimba la Anfield sikuya Jumatano.

Diogo Jota Nje kwa Wiki Kadhaa Zaidi.

Jota amekuwa nje ya dimba tangu mwezi Disemba kutokana na jeraha la goti, wakati Mane alikosa michezo miwili ya Liverpool iliyopita kutokana na jeraha la misuli.

Baada ya mchezo na Brighton kumalizika Klopp alikuwa na habari juu ya wawili hao.

“Diogo Jota ana… Sijui ni lini haswa – wiki kadhaa, mbili , tatu, nne . Sina hakika ,” aliuambia mkutano na wandishi.

‘Na Sadio Mane tutaona, Anaweza kupatikana kwa wikendi hii, Sijui hakufanya mazoezi na timu leo, Tutaona.

Kulekea kuwaongoza City siku ya Jumapili, Liverpool wapo nyuma ya vijana wa Pep Gardiola kwa tofauti ya alama saba ambao bado wana mchezo mmoja mkononi.


TENGENEZA FAIDA KUPITIA KASINO YA MERIDIANBET

Neptune’s Richies ni mchezo Unaokupa pesa chap chap huku ukiwa unaburudika kupitia Kasino ya Mtandaoni ndani ya Meridianbet.

Neptune's-Riches_Casino-Post_30-January

Cheza hapa

12 Komentara

    Klopp anawakati mgumu sana

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Majeraha yamekuwa ni changamoto kwa wachezaji

    Jibu

    Manga ju ya majanga liverpool

    Jibu

    Kloop ubingwa sahau

    Jibu

    Pole sana Kloop

    Jibu

    Duh changamoto Sana kwake

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Sorry for him

    Jibu

    pole yake

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.