Idd Nado Aongeza Mkataba Azam FC

Kiungo mshambuliaji wetu, Idd Seleman ‘Nado‘, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kusalia kwenye viunga vya Azam Complex.

Nado amesaini mkataba huo leo Jumanne mchana mbele ya Ofisa Mtendaji Mkuu, Abdulkarim Amin ‘Popat’, utakaomfanya aendelee kusalia Azam FC hadi mwaka 2024.

Nado
Nado Akiwa na Abdulkarim Popat

Nyota huyo amekuwa na kiwango tokea msimu uliopita alipojiunga nasi akitokea Mbeya City, hadi sasa msimu huu akiwa amehusika kwenye mabao 12 ya Azam FC, akifunga mara saba na kutoa pasi za mwisho tano.

Nado


JILIPE KWA NAMBA ZAKO ZA BAHATI NA KENO

Kila mtu ana namba zake za bahati, Meridianbet tunatambua namba zinaweza kukufanya milionea leo. Jilipe kwa namba zako za bahati kila baada ya dakika tano.

CHEZA HAPA

5 Komentara

    Habari njema kwa mashabiki wa azam

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    Hongera sana IDD

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Anajitahidi sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.