Yanga Yashusha Mtaalamu Kutoka Raja

Mabosi wa Yanga wanamshusha kocha wa viungo Jawadi Sabri kutoka nchini Morocco.

Yanga - Session

Kocha huyo anatua leo jioni na moja kwa moja atasaini mkataba. Ana rekodi ya kufanya vizuri akiwa na Raja Casablanca iliyochukua ubingwa wa Ligi Kuu nchini Morocco msimu wa 2019/20
Yanga - SessionPia kocha huyo alikuwa na kikosi hicho na kufika hatua ya nusu fainali katika Ligi ya Mabingwa msimu uliopita.

Uongozi wa Yanga kupitia kwa Kaimu Katibu Mkuu, Haji Mfikirwa alisema; “Makocha wote ambao wapo na Nabi mi watu ambao alishawahi kufanya nao kazi awali.”


MKWANJA MARIDHAWA NA KASINO YA 777 MEGA DELUXE

Nafasi nyingine kwaajili yako, kasino mpya yenye hadhi ya kipekee inayokupa kila sababu ya kuwa mshindi katika kasino za Meridianbet, anza siku yako na njia rahisi ya kutengeneza mkwanja.

CHEZA HAPA

12 Komentara

    Hongera kwao watani wa jadi

    Jibu

    Hongera kwao

    Jibu

    Hongereni sana Yanga

    Jibu

    Hapana chezea Yanga wewe..

    Jibu

    Balaa huyu mtu

    Jibu

    Hawana jipya hao

    Jibu

    Mtu mbaya huyu namkubali

    Jibu

    Wamepata kocha mzuri yanga

    Jibu

    Yanga oyeee

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Wanahangaika sana hawa jamaa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.