Cavani Kupewa Mkataba Mnono Manchester United

Klabu ya Manchester United inajiandaa kumpa mkataba ambao utakuwa na mshahara mnono mshambuliaji wao Edinson Cavani.

Cavani alikuwa anajiandaa kuondoka ndani ya kikosi hicho mwishoni mwa msimu.

Kutokana na kiwango cha nyota huyo kuzidi kuimarika kimewafanya Manchester United wafikirie kumpa kandarasi mpya nyota huyo.

Cavani

Taarifa zinasema kuwa mabosi wa Manchester United wanahitaji kumpa dili la pauni milioni 250,000 sawa na shilingi milioni 810.

Alijiunga na Manchester United akitokea kikosi cha PSG ya Ufaransa msimu huu. Jana wakati timu yake ikishinda mabao 3-1 dhidi ya Aston Villa alitupia pia bao moja.


Pesa Ipo Hapa Katika Kasino ya Lucky Lucky.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

7 Komentara

    Bonge la dili

    Jibu

    Safi sana kijana

    Jibu

    Dili nono

    Jibu

    Edinson Cavani yuko vizuri hongera yake

    Jibu

    Pongezi zake

    Jibu

    Yupo kweny kiwango cha juu sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.