Tuchel: Hakuna Kocha Anayeweza Kumkataa Harry Kane

Thomas Tuchel amekiri kwamba angependa kuwa na Harry Kane kama sehemu ya kikosi chake cha Chelsea, lakini alisema kwa ufupi tu Chelsea inavutiwa na straika huyo.
Tuchel: Hakuna Kocha Anayeweza Kumkataa Harry Kane
Mshambuliaji wa Tottenham, Harry Kane

Kane amekuwa akihusishwa na kusepa zake huko Tottenham na timu kubwa nyingi zimekuwa zikivutiwa na huduma ya mshambuliaji huyo ikiwe na klabu ya Stamford Bidge.

“Kama ukitafuta kocha yoyote ulimwenguni ambaye atamtaka Harry Kane katika timu yake niite tena. Ningependa kuongea na mtu huyo na kusikiliza mawazo yake katika eneo la ushambuliaji na ufungaji,” Tuchel alisema katika mkutano na waandishi wa habari.

“Kila mtu anampenda Harry Kane lakini acha tuwe wawazi tu, ni mchezaji wa Tottenham. Anamktaba wa muda mrefu na hatutojihusisha katika mkutano wowote na waandishi kuhusu hilo tena.”

Tuchel: Hakuna Kocha Anayeweza Kumkataa Harry Kane

Ikumbukwe Harry Kane alipeleka ombi la kutaka kuachana na klabu hiyo ya London kwa kile alichodai anataka kushinda mataji.


UNAWEZA KUWA MILIONEA WAKATI WOWOTE!

Zungusha na ushinde mkwanja wako papo hapo baada ya mzunguko kukamilika. Ni kugusa tu 🤑.

kane, Kane Aweka Wazi Maazimio Yake Kucheza UEFA., MeridianbetBASHIRI SASA

2 Komentara

    Kane yupo vizuri

    Jibu

    Kane yuko vizuri

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.