Olympics Kuhudhuriwa na Mashabiki 10,000

Taarifa rasmi kutoka Japan imeripoti kuwa, raia/mashabiki 10,000 wa Japan ndio watakaoruhusiwa kuingia viwanjani kwenye michezo ya Olympics.

Mashindano ya Olympics yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi kwenye viwanja mbalimbali nchini Japan kuanzia Julai 23.

Licha ya kuruhusu mashabiki, kuna wasiwasi uwepo wao viwanjani unaweza kuchangia ongezeko la maambukizi ya COVID19 na kwasababu hiyo, serikali ya Japan imejipanga kuhakikisha idadi ya mashabiki haizidi 50% ya uwezo wa viwanja ikiwa ni sambamba na kuweka huduma za dharura.


USHINDI BILA MIPAKA!

Hakuna mipaka ya ushindi kwenye Keno Instant ya meridianbet Kasino, hii wewe ndiyo una uamuzi zaidi juu ya mchezo na nafasi ya machaguo kibao
Arsenal, Arsenal Wawasilisha Ofa ya Pili Joaquin Correa., Meridianbet

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.