Daniel Farke Mkataba Mpya, 2025.

Kocha mkuu wa Norwich City, Daniel Farke, amesaini mkataba mpya wa kuendelea kukinoa kikosi hicho mpaka 2025.

Farke alikabidhiwa mikoba ya kukinoa kikosi hicho mwaka 2017 akitokea Borussia Dortmund II na amefanikiwa kuirudisha Norwich City kwenye EPL kwa mara ya pili msimu ujao.

Farke na benchi lake la ufundi.

Sambamba na Daniel Farke, kocha msaidizi – Eddie Riemer, Christopher John na Chris Domogalla pia wamesaini mikataba mipya ya kuendelea kubaki Norwich mpaka 2025.


FURAHIA KASINO MTANDAONI HUKU UKITENGEZA MKWANJA!!

Kasino ya Mayan Eagle inakukufanya kuwa bingwa wakati wowote unapoamua kuicheza. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.