Eddie Howe: Vikwazo Havitawathili Chelsea Uwanjani

Kocha mkuu wa klabu Newcastle Eddie Howe anaamini kuwa Chelsea itakuwa imara uwanjani licha ya kuwekewa vikwazo na serikali ya Uingereza kutokana na mmiliki wa klabu hiyo kuhusishwa kuwa na ukaribu na raisi wa Urusi.

Eddie Howe ambaye amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi February kwenye ligi kuu ya Uingereza na kutangazwa leo ijumaa, anatarajia kuiona Chelsea ikimaliza nafasi tatu za juu.

Eddie Howe
Eddie Howe

“Sidhani kama Chelsea itaathilika kwenye upande wa uchezaji,” alisema kocha huyo wa Newcastle, ambapo timu yake imecheza michezo tisa bila ya kupoteza huku wakipata ushindi wa 2-1 dhidi ya Southampton siku ya jana alhamisi.

“Kwetu sisi, huwezi kubadili maandalizi yetu kivyovyote. Nitakuwa nawaangalia Chelsea kihistoria na kujaribu kutengeneza mpango mkakati wa mchezo na kuajaribu kwenda kushinda.

“Sitaraji chochote uwanjani, kiukweli, kuwa na tofauti yeyote.”


VUNA MKWANJA NA SHINDANO LA EVOPLAY SPRING AWEKING

Mchongo mpya mjini ni Shindano la Evoplay Spring Aweking katika kasino maridhawa za meridianbettz. Pata mgao wako wa TSh 25,000,000  katika michezo kibao ya kasino na sloti ziliyochaguliwa kushiriki.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

SOMA ZAIDI HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.