Joshua Ataka Pambano na Usyk Rirudiwe Haraka

Anthony Joshua  anataka pambano lake na Oleksandr Usyk rirudiwe tena baada ya kupoteza dhidi ya mpinzani wake huyo, wakati mwanamasumbwi huyo aliyeengia kwa kujiamini lakini alipoteza kwa pointi.

Joshua amempoteza mikanda yake yote IBF, WBA na WBO kwa Usyk ambaye alishinda kwa pointi katika pambano lake la tatu la uzito wa juu lilipogwa siku  ya jumamosi London

Usyk bingwa wa cruiserweight amekuwa mwanamasumbwi wa pili kumchapa Joshua, ambapo awali ‘AJ’ alipoteza kwa Andy Ruiz Jr, na kuomba tena kurudiana nae na kushinda, Joshua anaimani atafanya tena kwa Usyk ambapo alipoteza mbele ya mashabiki 66,000 kwenye dimba la Tottenham Hotspur Stadium.

“Niko tayari kurudi kufanya mazoezi, nitaakuwa tayari kurudisha nilichopoteza, nisomo zuri nimelipata leo,ni somo zuri nimelipata.

“Najua tunaweza kuliangalia kwa upande mbaya, lakini nalichulia kama somo na litanijenga , mimi sio mtu dhaifu sitaki kuwa chumbani nikiwa najirahumu,narudi kwenda kujiweka sawa sababu hakuna atakaye fanya kwa ajiri yangu.” Alisema AJ


FUNGA BAHATI YAKO NA MERIDIANBET.

Ni wakati wa ushindi mkubwa ukiwa na kasino bomba ya Lock a Luck, meridianbet wanakupa sababu ya ushindi, funga bahati yako ya ushindi ukiwa na mabingwa.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.