Ndondi: Mayweather vs Paul ni Juni 6.

Bingwa wa dunia mara 5 kwenye mchezo wa ndondi, Floyd Mayweather atapanda ulingoni safari hii kuchuana na mtaalamu wa YouTube, Logan Paul.

Mpambano wa Mayweather vs Paul ulipangwa kufanyika Februari 6 na sasa umesogezwa mbele ambapo wapambanaji hawa wametumia mitandao yao ya kijamii kutangaza siku ya pambano hili.

Hili ni pambano la ndondi ambalo linatajwa kuingiza pesa ndefu kupitia mfumo wa malipo kwa kila mtazamaji. Hii itakuwa ni mara ya pili kwa Mayweather kuchuana na mpinzani ambaye sio mwanamasumbwi.

2018, Mayweather alihitaji sekunde 140 tu kumshinda Mjapan, Tenshin Nasukawa kwenye mchezo ambao ulitengeneza kiasi cha pauni milioni 6.7

Floyd Mayweather (kushoto) akipambana na Conor McGregor (kulia)

2017, Mayweather aliachana na mchezo wa ndondi baada ya kumshinda Conor McGregor katika mchezo uliotengeza pesa ndefu kwenye historia ya mchezo huu. Floyd aliacha kucheza masumbwi akiwa hajapoteza michezo yote 50 aliyoicheza.

Mpambano wa Mayweather vs Paul utachezwa katika uwanja wa Hard Rock, Miami- Marekani.


KWANI MERIDIANBET WANASEMAJE! MKWANJA UPO KWENYE KASINO MPYA YA MINI POWER ROULETTE.

Unawezaje kukosa ubingwa ndani ya kasino hii maridhawa, Nafasi ya kushinda mkwanja ni kwa kila mtu, Meridianbet inakupa nafasi ya kuwa mmoja ya washidi leo, unasubiri nini?

Mini Power Roullete

CHEZA HAPA

4 Komentara

    Ngoja tusubiri kuona pambano

    Jibu

    Pambano kalii

    Jibu

    Tunasubiri kwa hamu kubwa

    Jibu

    Mpambano utakuwa wa kibabe

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.