Pambano la Floy Mayweather na Logan Paul litakuwa ni pambano la maonesho tu. – Carl Froch
Kwa mujibu wa Carl Froch, ni kuwa tetesi za pambano la Floyd Mayweather dhidi ya mhamasishaji wa YouTube Logan Paul litakuwa ni pambano la maonesho zaidi kuliko ndondi halisi za kulipwa.
Mayweather, yupo katika majadiliano ya pambano dhidi ya mhamasishaji huyu kwa mujibu wa chanzo kutoka katika timu yake.
Hata hivyo Froch, ambaye ni mtaalamu wa Sky Sports anaamini bingwa huyu mara 4, kupambana dhidi ya Logan Paul siyo pambano linalopewa uzito sana kama pambano halisi la ndondi za kulipwa. Litakuwa ni kama maonesho tu ya kibiashara.
Watu wengi wanavutiwa na wanatarajia kushuhudia pambano hili. Pambano kama hili, ni mapambano ambayo huwa hayana athari kubwa kwenye historia ya ndondi za kulipwa za bondia.
Mfano pambano dhidi ya Tenshin Nasukawa, Mayweather hakuwa na kitu cha kupoteza kwenye rekodi yake ya ndondi za kulipwa hata kama angepoteza. Hivyo pambano dhidi ya Logan pia linatarajiwa kuwa na uzito huu. Taarifa zaidi zitawekwa wazi baada ya kukamilisha mazungumzo.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.
magdalena
litakuwa pambano kali sana mayweather nakuaminia mwamba
Lydia Emmanuel Magoti
Litakuwa pambano lakufa mtu hilo ngumi jiwe
Angelina
Mpambano mkali
Fatina mfigi
Litakuwa la aina yake ili pambano
Adelta
Linaonekana pambano litakuwa zuri sana tusubiri tuone matokeo
Sauda
Mayweather lazima amkalishe mtu.
Nasra
Mpambano makali
Dorophina
Pambano litakuwa Kali sana
Caroline
Aisee hili Pambano sio la kukosa
Mwajumah
Mpambano utakua mkali
Shan
May ni babalao
Tatu
Pambano la kufa mtu
Ernest
Floyd Mayweather mtaalam wa kupiga pesa wenyewe wanasema easy money
Johnmary joel
Jamani mwenye nguvu ya kumshinda mwenzake ndiyo mshindi#meridianbett
Fatuma kasomo
Mtanange utakua balaa
Tahiya
Tumemiss sana mashabiki wa ngumi
Amiri Kayera
Watu wapo kibiashara zaid
Sadick
Floyd Mayweather sijawahi kuamini kama amestafu rasmi, naamini kuna siku atarejea Ulingoni pale mpunga mrefu utakapotolewa#meridianbettz
Theonestina
Namkubar Sana Mayweather
aisha
Mayweather lazima ampasue mtu
Sabrina
Mayweather hauachi mtu salama
Aziza mushi
Pambano la nguvu
Janeflora malisa
🔥🔥
Elika
Tumemiss sana
Gabriel
Namkubal sana Floyd Mayweather n bonge la mpiganaji mzur sana
Samiah
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥
Frank P
Huyu mtu hapigani bure huyu
Zeiyana
Kama cha mtoto tu kwake mayweather pambano hilo amekua akipigina bila ya kushindwa katika mapambano yake yote
Rehema
Mambo moto
Rose kapinga
Mywearther taratibu usije ukaua!!!
Issa
Mayweather ataki rekod anatafuta mkwanja tu
Hopemwaikuka
Hii itakua shda mjin
aisha
Mayweathr kashavunj rekod nying kweny box oliobak nk kupiga pesa tu
felister
pambano kali
David Pere
Floyd Mayweather mtaalam wa kupiga pesa wenyewe wanasema easy money